JokaKuu, Wengine wenye ufahamu na masuala haya hasa magonjwa ya kuambikizwa tulisema wazi hakuna bahati nasibu katika maisha ya watu, na kwamba, wakubwa wa Dunia wameshindwa sembuse sisi wapitisha bakuli.
Hili lilikuwa wazi kabisa kwamba kulikuwa na mzaha hakuna seriousness na hakuna mwenye uthubutu wa kusema ''hili si sawa au tunakokwenda si kwema'' Watu wanaogopa vyeo vyao zaidi kuliko uhai, Corona haijui nyadhifa.
Tulionya ''kauli za tokeni muende kuchapa kazi'' ni za kipuuzi sana. Kuna watu hawajui wala hawataki kusikia habari za dunia. Italy wanazika kwa kutumia jeshi halafu watu wanasema nendeni mkachape kazi!
Tuliuliza hivi unafunga vipi vyuo na shule halafu unaacha makanisa na misikiti? unaacha Bunge?
Hii ni infectious control kutoka dunia gani, yaani tunaonekana kama hatuna watalaam
Tukaambiwa tunategemewa na nchi 8, sasa nchi hizo zinatufungia mipaka!
Tuakakataa kuungana na wenzetu wa EAC ambao sasa wanafanya vizuri sana ingawa walipata maambukizi mapema. Sisi tukatafuta solution za maombi na nyungu! inakula kwetu kikamilifu.
Viongozi wetu wamezembea sana katika hili, hatukupaswa kuwa hapa tulipo.
Mwingine aliyepigia upatu bahati nasibu ya
Mzee Mwanakijiji ni
Pascal Mayalla
Bahati nasibu imefeli kwa gharama za maisha ya watu, na itaendelea hadi May mwishoni au June.