Pagoda Hunter
Senior Member
- Apr 15, 2020
- 140
- 176
daaaahh Balozi Mahiga ana CV na historia nzuri na kali sana...Nchi imepoteza mtu muhimu sana hakika Apumzike kwa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu japo nilipata F ya hesabu,lakini 2020-1945=75,,nambie hiyo 70 wewe unaipata wapi?Alizaliwa 1945 na alitarajiwa kutimiza miaka 70 mwezi wa nanane (8) mwaka huu.
Tahadhari: ni kosa kubadili takwimu.
Sawa.kubwajingaAmekuzuia wewe kuji isolate? Unakuwa kama li ng'ombe mpaka uwe isolated. After all, unaweza kuji isolate bado ukachapa kazi.
Una uhakika before korona idadi ya vifo ilikuwa chiniAisee hali ni tete tunakwisha japo wanasema hivi vifo sio vya corona ila kwa nini iwe wakati huu wa corona ndo vifo vinazidi?!
Mpaka hapo umekosa hoja ushamba tuu umekujaa. Hata unashindwa kutofautisha isolation na kuchapa kazi.Sawa.kubwajinga
Umeshakula mvuke?
Tuko kwenye same boat,namhofia mama yangu japo hana ugonjwa wa kidumu. Hii corona imeleta ugonjwa depression Na bp kwa watu wengi sana[emoji29][emoji29].Yaani mie nna pumu baba ana pumu na sukari .naogopa hata kupanda bus noende leo najihis chizi fresh kbs..! Eh Mungu nilindie jembe langu!ila mie sijihofii kbs...namhofia dingilai uwiii[emoji56][emoji56][emoji56]
Tumeshaelewa mkuuMtamlaumu bure tu, Jiwe alisema mwenyewe ameshachoka haiwezi kazi ya Urais ila amelazimishwa tu, kwa hiyo inatakiwa kuridhika na matokeo. Kuonesha msisitizo kakimbilia zake Chato , msipomuelewa basi tena
Ni kweli kabisa. Lakini hapa itabidi tu waache unafiki kwani hali ni ya hatari mno. Hata mashangingi, hata posho, hata vyeo walivyonavyo havishindi uhai.Bunge linaweza kuifosi serikali kuchukua hatua stahiki dhidi ya ugonjwa huu hata kwa kukataa kijadili budget ya mwaka ujao . Bahati mbaya tuna bunge kibogoyo linaloendeshwa kwa kutegemea huruma ya Rais [emoji29][emoji29][emoji24][emoji24],,hata wao wamekua victims japo mamlaka wanayo.
Sent using Jamii Forums mobile app