Ni kweli kabisa..dah..aisee...Dah...tulipokuwa wadogo tulikuwa tunamfananisha na Nyerere..ooooh my god. hakuwa na makuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa..dah..aisee...Dah...tulipokuwa wadogo tulikuwa tunamfananisha na Nyerere..ooooh my god. hakuwa na makuu
Ohooo! sijasema Mimi siwezi kua wa kwanza nimeomba nishuhudie tangazo lake la TANZIA kabla mimi sijatanguliamuombe mungu usiwe wewe kwanza na ujilinde maana haina maana wanaokufa wana dhambi kuliko walio baki bali ni neema tu
hawa dawa yao inachemka,soon watajua wamekosea njia.Duh hawa wakenya wameshajua ugonjwa uliomuua waziri?
Nani amewatangazia kwamba ni corona?
Au wanajipendekeza kwa watu flani flani!
Sina uhakika kama wako sahihi kidiplomasia.
Huu ugonjwa ni hatari mazee naona kigogo anasema gambo kazika 30 kwa siri kumbe lema alikuwa eneo la tukio
ten days.Ndani ya mwezi mmoja wabunge 3 wanakufa ghafla??
Yale maneno ya MH lema yanatimia