TANZIA TANZIA: Balozi Augustine Philip Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria amefariki dunia

TANZIA TANZIA: Balozi Augustine Philip Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria amefariki dunia

Usalama wanaonekana ila huwezi kuwatambua kuwa ni usalama maana hawana vibandiko usoni.

Mtu yoyote anaweza kuwa usalama katika mazingira yako ila kumtambua ni bidii yako.
Kuna mwalimu nmeshamshtukia waga namchora tu anapenda kujifanya mpizani kumbe li Afsa usalama jinga kabisa lipo na baskel kama litoto kuna mkoa nikaenda nikalibamba limekula suit matata na watu wa ajabu ajabu
 
kumbe alikuwa DG kitengo! atakuwa kaagiza watu kibao wafungwe na wengine watangulizwe kwa risasi za moto kwa usalama wa taifa na usalama wa baba! kitu kizuri mda huu wote washakutana huko tayari!
 
Kuna mwalimu nmeshamshtukia waga namchora tu anapenda kujifanya mpizani kumbe li Afsa usalama jinga kabisa lipo na baskel kama litoto kuna mkoa nikaenda nikalibamba limekula suit matata na watu wa ajabu ajabu
Ibaki kuwa siri yako aendelee kutimiza majukumu ya serikali na taifa.

Mimi ukiniweka kwenye kundi la watu 10 wawepo 3 ambao ni Usalama nikikaa nao na kuongea kwa muda najua huyu mtu kitengo.

Nina rafiki yangu mmoja nilikutana naye kwenye mazingira ya kazi hadi leo huwa namfanya acheke kila tukionana.
 
Mahiga sio generali mpaka azikwe kijeshi na hajawai kuwa mkuu wa TISS kisheria ndio maan hta rais alivoita wakuu waulinzi na usalama wastafu mahiga hakuwa miongoni mwa wakuu wa idara ya usalama waliohudhuria au wanaotajwa..usalama wa taifa ulianza rasmi 1996 chini ya Tanzania intelligence security Act 1996. Zamani usalama wa taifa haukuwepo kisheria japo idara iliofanya kazi kama usalama wa taifa ilikuwepo but haikutambulika kisheria

Sent using Jamii Forums mobile app
asante sana kw elimu nzuri ubarikiwe sana mkuu, je ndo abebwe na mgambo?hata mie nisingekubal kubebbwa na watu wanao gombanaga na mamantilie tu Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahiga alikuwa kuongozi;
mwadilifu
mwanadiplomasia
sio muongo
hakupenda wengine kunyanyaswa ie wapinzani
Hakujaa sifa wala kupenda kusifiwa/
RIP Komredi MAHIGA
 
Ibaki kuwa siri yako aendelee kutimiza majukumu ya serikali na taifa.

Mimi ukiniweka kwenye kundi la watu 10 wawepo 3 ambao ni Usalama nikikaa nao na kuongea kwa muda najua huyu mtu kitengo.

Nina rafiki yangu mmoja nilikutana naye kwenye mazingira ya kazi hadi leo huwa namfanya acheke kila tukionana.
Hata mimi uyu jamaa baada ya siku kadhaa akipost picha kajichanganya kaandika at another sector status WhatsApp nika piga tiki uyu mwewe
 
hata mimi nimeshangaa sana! maiga kwa jinsi alivyolitumikia taifa hili si wakufanyiwa hivyo! hata kama hao mugambo ni tis, lakin hawana hadhi kabisa yanamna walivyobeba jeneza la maiga! hii nchi bas tu ukifa yote ulilofanyia taifa ni bure! najua watasingizia sababu amekufa kwakorona ndomaana amefanyiwa hivyo.
 
wengi wakipangwa jeshi la Akiba uwa wanakimbiaga wewe utakubali umesoma alafu kazi yako ni kumwaga vyakula vya mama ntilie kweli?e kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani alikwambia wote lazima wawe wamesoma? Haihitaji msomi akawe mama ntilie kwa kivuli cha undercover ila mtu yoyote anayefaa hutengenezwa kwa elimu yake hiyo hiyo ila mara nyingi hawa ni INFORMER.
 
Hii ndio haki ya mnyonge mkisha mnyonga.
 
Wajameni haka ka boy kamekukosea nn hadi ukawazie kudedi soon?
Familia ya Mheshimiwa Mbowe ilimkosea nn hadi kufurahia mmoja wa wanafamilia hao kupatwa na virus vinavyosababisha kifo?

Kama alimshukuru Mungu Dube Mbowe kupatwa na corona na sisi tunamlaani nayeye pia vimpate na vimpeleke kaburini tena iwe haraka tushuhudie kifo chake tufurahi tunywe bia kisha nasisi ndo tukufe!!!!! Au mods mnaonaje?
 
Back
Top Bottom