Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Duuh!!Nimekumbuka msiba mmoja ivi wa shoga alikua anaitwa aunty Mau...yaani walijaa mashoga wenzake na sare ya vijora walivaaAliumwa sana miezi kadhaa ,akawa hadi kichaa maskini.mashosti walimsitiri tu fresh
Heee Upo wapi mwenzangu wewe? Yaani msiba wanaume walizira jeneza wakabeba mashosti zake aliokuwa anadanga nao
uwa nakufatilia sana kumbe ww ni mwanamke[emoji15]Binamu nae umeanza , anapostahili wapi , si useme tu apumzike kwa Amani , mxieew
Duuh kama yule ndio shoga yake ,,,,, na lile tako lake lilee,,,,, !!! Najaribu kuwaza kwa sauti.Eeh. Shoga ake sana yani.
Dah,,sijui kwann nyie ke mnawapenda hao watu,,namuona sana wema nae yuko karibu nao huko instaKasema ye ke na naamini atakua hana watoto wa kiume
labda Bahati(Shamsabasil) ataibeba mikoba japo Junaitha nae hayupo vibaya hahahahahaha!Wale wadangaji waliokua wanatamani kwenda SA basi tenaa
Mkuu,,naungana na mchangiaji mmoja anedai kua hakuelewi,,,mbona unaonekana kama vile unaunga mkono tabia hii chafu ? ,samahani lakini
Ahsante binamu , nichangien jaman nimeumia kweli warumi Mimi
Hapo kawa kama Nabii tito
Yaani mazishi hayakuwa hata na msalaba wala kiongozi wa ibadaJaman binamu unaniua mbavu uwii , kwa hyo kaoge walimsusia jaman ? Sasa hao mashost wake nguvu za kubeba jeneza walitoa wapi , nilikua na majonzi umenifanya nicheke kama tahira
Mazishi ya kaogeDuuh!!Nimekumbuka msiba mmoja ivi wa shoga alikua anaitwa aunty Mau...yaani walijaa mashoga wenzake na sare ya vijora walivaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Heee! Usiache kula sperm zina saidia kiafya zina madini yafuatayo
water, fructose (sukari), prostglandin, vitamin C, zinc, protein, na lactic acid, magniziam, calcium klorini, citric acid, creatine, potassium, vitamin B12, sodium, nitrogen, and phosphorus.
Kama mtu hana STDs hakuna madhara
Binamu usinichekeshe but pole kwa msiba wa shogaako, weka namba hapa tukuchangie binamu yetuAhsante binamu , nichangien jaman nimeumia kweli warumi Mimi
Mjini sehemu gani?Hapana nilikua na mie namuona tu mjini
labda kaacha ila !Junaithar katulizwa na kaka 777 kaacha kudanga. Shamsa nae si kaolewa jamani hayo mambo anayafanya bado.
Ila nao wanajuaga kuwatesa wazazi wao. Hivi wakiliwa kimya kimya wanabanduka wapi?