TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

TANZIA: Bilali Mashauzi afariki dunia

Mungu ni mvumilivu sana aisee, halafu ninyi wanawake maimba taarabu ndio mnaoharibu vijana wetu, wachafu sana, inakuwaje mwanamke unaacha kuwachukua wanawake wenzio wafanya hayo mambo afu unamchukua mwanaume?
 
Heee Upo wapi mwenzangu wewe? Yaani msiba wanaume walizira jeneza wakabeba mashosti zake aliokuwa anadanga nao
[emoji134] [emoji134] [emoji134] seriously wanaume waligoma kubebA jeneza?,ss na huyu watamzira aiseee...
 
Yule tena kaanza kudanga miaka ya themanini , vigogo wote anawajua sema binamu si unajua binamu mtamu ukiwa hai ukifa watu hawana habar wanaishia kukupost insta , mi ndo maana ushoga wa kipuuzi sinaga
Mhhh!,kama kaanza kudanga miaka ya 80 si atakuwa ameoza huko nyuma,dyudyu tamu ulivyosema lkn inaharibu mbaya
 
Back
Top Bottom