Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinawachanganyaga akili hata mwanamke anaependa hio michezo wanakuwaga na midomo michafu haooZinawapaga na uchizi flani pia eeh?
[emoji4] [emoji4] [emoji4]Naona unataka kuniuza kwa watu wasiojulikana wewe
Hujui kwa nini wakat umesha sema mashoga, hiyo ndo sababuMashoga huwa hawaishi muda mrefu sana sijui kwanini?!
[emoji134] [emoji134] [emoji134] seriously wanaume waligoma kubebA jeneza?,ss na huyu watamzira aiseee...Heee Upo wapi mwenzangu wewe? Yaani msiba wanaume walizira jeneza wakabeba mashosti zake aliokuwa anadanga nao
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] hapo siongei lolote[emoji23] [emoji23]Mdomoni je?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] duh waliwezaje kuingia kaburin na kuzika mana wanawake waoga kwelHeee Upo wapi mwenzangu wewe? Yaani msiba wanaume walizira jeneza wakabeba mashosti zake aliokuwa anadanga nao
Nasikia wanawake (baadhi)wanapenda sana kukaa nao watu wa design hii,sijui ni kwanini.Na wanasapoti.Wanachukulia ni makosa tu ya kimaumbile...yani wanafanya ni ulemavu wa kawaida kama alivyo mlemavu wa miguu
Mhhh!,kama kaanza kudanga miaka ya 80 si atakuwa ameoza huko nyuma,dyudyu tamu ulivyosema lkn inaharibu mbayaYule tena kaanza kudanga miaka ya themanini , vigogo wote anawajua sema binamu si unajua binamu mtamu ukiwa hai ukifa watu hawana habar wanaishia kukupost insta , mi ndo maana ushoga wa kipuuzi sinaga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haahahahahah wallah akijilizaga akikosa pesa halaf baadae jamani mwenye laki mbili anikopeshee comment zake utacheka ufeee
Nilishajibiwa,soma soma comments kuna ubuyu wa kujaza kibabaWakikujibu niite nipo jikoni napika.[emoji23]
Hasikii uchungu mwanae kuharibika?Mwanae ni wale wale laana kuongozana nao
lol.. umenifurahisha na hii fursa ya "kuchangiwa"Ahsante binamu , nichangien jaman nimeumia kweli warumi Mimi