TANZIA TANZIA: Daktari Bingwa Mishipa ya Fahamu na Ubongo Ronald William Hodge Afariki Dunia

Chanzo cha kifo chake ni nini?

Mwenyezi Mungu awafariji wazazi na ndugu zake.
 
Pumzika kwa amani Daktari japo itakuwa siyo mtanzania
 
Pole kwa Familia na Wanajamii wa BMC.

Hivi alikuwa ni m-Cuba?
 
Uchungu wa nini sasa hutaki kufa?

Sitaki kufa ila sina jinsi, hasa hasa huku ukubwani starehe ya kula Mbususu ndio imenifanya nione Mungu alitupa miaka michache mnooo alfu ukizingatia Mbinguni wanasema hakuna Mbususu … ! So sad [emoji24]
 
Mkuu hapa hadhi ya R.I.P uliotumia ya MWENDAZAKE ina kasoro ungetumia Marhemu tu, kwasababu hadhi hiyo sasa tumemtunuku mpendwa wetu Mtukufu jpm tu.
Mpendwa wako wewe na nani? Kwa upande wangu huyu Neurologist alikua mtu muhimu sana kuliko huyo "mpendwa" wako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…