TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu


Ameni
well said.
thank you.
 
R.I.P Ivan da so sad wale wtt tu nawahurumia ulikuwa baba Bora kwa wanao umeacha pengo kubwa kwao
 
Mda mrefu tokea amaechana na zari ukimfatilia ivan sana alikua hana sura ya furaha hata kwenye picha ukiangalia kwa makini unagundua huyu the don ana tatizo daahh rip ivan.nilikua na mpango wa kukupiga kibomu sasa ndoto zangu namm zinakufa hivihivi
 
Hakika kila aliyezaliwa na mwanamke siku zake zinahesabika na ni chache hapa Duniani...Apumzike kwa Amani kaka Ivan
 
Maradhi ya moyo ni hatari sana na asilimia kubwa huchangiwa na msongo wa mawazo unapozidi au kuweka kitu moyoni kitu ambacho kwako kilionekana nij jeraha so kila ukikikumbuka moyo hupata jeraha. Ivan alishindwa kujicontrol pindi alipotengana na Zali na aliona maisha kwake hayana thamani naamini wengi tuko hvyo so kuna wakati tunaowapenda kwa dhati ndio wanasababisha yetu mauti naipa poule familia yote ya Ivan Ssemwanga katika kipindi hiki kigumu cha msiba na Tumuombe Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi kwani wote ni waja wake na kwake tutarejea. Bwana anetoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Ameeen. R.I.P Ivan Ssemwanga.
 
VITU VITAKAVYOFANYA IVAN SEMWENGA EX HUSBAND WA ZARI AKUMBUKWE NI HIVI​

 
Rest In Peacei
Jamaa na mihela yote ile hatuko nae duniani daha!! Rest in Peace Money Maker Ivan
Ila hiyo mihela dah...!
 
Utashangaa Mabilione wamekaa kimya na wapo ila kujionyesha nakujurusha kumefupisha maisha ya kijana.
Cc Diamnd
 
Oh! RIP Ivan...

I guess Lawrence atakuwa kwenye msiba mkubwa zaidi kuliko Zari... ndo ile watoto wa mjini wanasema "watoto wa marehemu wamenyamaza kulia, mpambe ndo kwanza analiamsha!!!"
Tuko na majonz ujue usianze vichekesho RIP Ivan. ....
 
Utashangaa Mabilione wamekaa kimya na wapo ila kujionyesha nakujurusha kumefupisha maisha ya kijana.
Cc Diamnd
Japo marehemu si vizuri kumsema sidhani kama hiyo ilikuwa CSR...ni show offs...tabia za kitoto ... ndio maana Zari alimtema...

Kuna clip moja niliwai ona anamwaga ma pound UK...Zari yuko pembeni anatabasamu...(ila ukisoma tabasamu lake halikuwa real)
 
Cha kujiuliza tymejifunza nin kupitia huu msiba wa ivan maan kifo ni mawaidha
 
Cha kujiuliza tymejifunza nin kupitia huu msiba wa ivan maan kifo ni mawaidha
Duniani tunapita hata uwe na hela kiasi gani au uwe maskini kiasi gani ni vizuri kumcha Mungu na kufanya yale yalio mema.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…