TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

Mume uliyezaa nae watoto watano ukamuacha solemba tamaa ya ujana ikakushika japo umri ulikutupa ukaja kufanya uasherati na kula raha na diamond na kusahau kuwa ulipaswa uvumilie mlee watoto na wenzio.
Leo hii kwny post yako unamwita great man na kumpa sifa kedekede marehemu Ivan baada ya kufariki kwani ulkuwa wapi kusema haya wakati hajafa??
Hili liwe funzo kwa wanawake mnaoacha waume zenu na kwenda kurukaruka na kula starehe iko cku watu mnaowaacha watakufa na kuwaacha ktk hali ambayo mtaumia sana. Saiv zari anatamani amuombe msamaha Ivan ila hawezi tena anatamani aseme neno lkn tayar amechelewa....
Hakuna wakati mgumu hapa duniani kama kudaiwa kihisia na marehemu


Kwa hiyo na wewe umetoa laana? Wabongo bhana mnapeenda mambo ya laana laana sijui ni kwa nini? Ni umaskini au?
 
Mume uliyezaa nae watoto watano ukamuacha solemba tamaa ya ujana ikakushika japo umri ulikutupa ukaja kufanya uasherati na kula raha na diamond na kusahau kuwa ulipaswa uvumilie mlee watoto na wenzio.
Leo hii kwny post yako unamwita great man na kumpa sifa kedekede marehemu Ivan baada ya kufariki kwani ulkuwa wapi kusema haya wakati hajafa??
Hili liwe funzo kwa wanawake mnaoacha waume zenu na kwenda kurukaruka na kula starehe iko cku watu mnaowaacha watakufa na kuwaacha ktk hali ambayo mtaumia sana. Saiv zari anatamani amuombe msamaha Ivan ila hawezi tena anatamani aseme neno lkn tayar amechelewa....
Hakuna wakati mgumu hapa duniani kama kudaiwa kihisia na marehemu

Mbona nakuona una aki lza kijima sana kuliko hata sisi vikongwe?

Kwa hiyo wewe unataka hata kama watu wanashindana waendelee kukaa wote kwa kuwa wanaume tutakufa na kuwaachia majonzi?

Unafahamu kwamba kuachana kunaweza kuongeza ustawi katika maisha na malezi ya watoto kuliko mnavyowaua watoto kisaikolijia vile wanavyokua wakishughudia mnagombana na kudhalilishana kila sku?

Unaelewa kwamba umbali unaweza kuumba amani na ustarabu mzuri kwa maisha ya wahusika wote?

Kwa mtazamo wako wewe, unamaanisha watu wakiachana kwa tofauti katika upande mmoja basi mazuri yao wote yafe? Unaelewa kwamba mtu anaweza kuwa great man kwa ubunifu wa kibiashara lakini asiwe a good lover?
Unafahamu mtu anaweza kuwa handsome na mchapa kazi lakini akashindwa kukaa na mwanamke kwa ajli ya kutokujali ndugu, ubinafsi ama kiburi?

Unaweza kuelewa kwamba mtu anaweza kuwa na kila kitu lakini maumbile mkashindwana?

Unaweza kufikiria mtu anaweza kuwa great in all other things lakini akawa mshirikina na mwenziye asikubaliane naye?

Kwa hiyo unataka kwamba mkitofautishana kiasi cha kutokuvumiliana katika nyanja moja, basi yale mazuri ya mwenxiyo usiyaseme?

Kwa hiyo Zari angelkuwa naye mauti insingemfika? Au labda unataka Dai awe na mtu mwingine?

NINADHANI SI BUSARA KUMTUKANA ZARI ETI KAMSIFIA EX WAKE AS IF KUACHANA NI UADUI.
MBONA HUKUMKATAZA KWENDA KUMWUGUZA?
UNADHANI WANGELIKUWA NA UADUI KAMA UNAOUTAKA WEWE, NANI ANGERUHUSU ZARI KUKAA NAYE AKIWA KWENYE COMMA?

ETI UMALAYA!, WEWE UNAJUA NI KITU GANI KILIMFANYA ZARI WAKAACHANA HADI AKAKUTANA NA DIAMOND?

ACHENI KUINGILIA MAHUSIANO YA WATU. KAMA ULIVKUWA UNAJALI SANA,ULITAKIWA KUWASULUHISHA BADALA YA KUJA NA COMMENTS ZENYE CHUKI. MAPENZI HAYALAZIMISWHI, YAKIISHA YAMEISHA LAKINI HATA YAKIISHA HAKUNA MTU MBAYA AMA MZURI KILA ENEO. ZURI LINASEMWA NA BAYA LINASEMWA.

WMACHENI ZARI JAMANI. NAYE NI BINADAMU TENA ANA DAMU NA NYAMA KAMA WEWE.
 
Mume uliyezaa nae watoto watano ukamuacha solemba tamaa ya ujana ikakushika japo umri ulikutupa ukaja kufanya uasherati na kula raha na diamond na kusahau kuwa ulipaswa uvumilie mlee watoto na wenzio.
Leo hii kwny post yako unamwita great man na kumpa sifa kedekede marehemu Ivan baada ya kufariki kwani ulkuwa wapi kusema haya wakati hajafa??
Hili liwe funzo kwa wanawake mnaoacha waume zenu na kwenda kurukaruka na kula starehe iko cku watu mnaowaacha watakufa na kuwaacha ktk hali ambayo mtaumia sana. Saiv zari anatamani amuombe msamaha Ivan ila hawezi tena anatamani aseme neno lkn tayar amechelewa....
Hakuna wakati mgumu hapa duniani kama kudaiwa kihisia na marehemu
Out of point, three baby boy not five.
 
We ulitakiwa uwe kaburini basi,yani una mlaumu mzazi mwenza wa marehemu!!! Ila poa,ndo ulivyo
 
18581330_810718662435358_3824360260429152256_n.jpg
 
Mbona nakuona una aki lza kijima sana kuliko hata sisi vikongwe?

Kwa hiyo wewe unataka hata kama watu wanashindana waendelee kukaa wote kwa kuwa wanaume tutakufa na kuwaachia majonzi?

Unafahamu kwamba kuachana kunaweza kuongeza ustawi katika maisha na malezi ya watoto kuliko mnavyowaua watoto kisaikolijia vile wanavyokua wakishughudia mnagombana na kudhalilishana kila sku?

Unaelewa kwamba umbali unaweza kuumba amani na ustarabu mzuri kwa maisha ya wahusika wote?

Kwa mtazamo wako wewe, unamaanisha watu wakiachana kwa tofauti katika upande mmoja basi mazuri yao wote yafe? Unaelewa kwamba mtu anaweza kuwa great man kwa ubunifu wa kibiashara lakini asiwe a good lover?
Unafahamu mtu anaweza kuwa handsome na mchapa kazi lakini akashindwa kukaa na mwanamke kwa ajli ya kutokujali ndugu, ubinafsi ama kiburi?

Unaweza kuelewa kwamba mtu anaweza kuwa na kila kitu lakini maumbile mkashindwana?

Unaweza kufikiria mtu anaweza kuwa great in all other things lakini akawa mshirikina na mwenziye asikubaliane naye?

Kwa hiyo unataka kwamba mkitofautishana kiasi cha kutokuvumiliana katika nyanja moja, basi yale mazuri ya mwenxiyo usiyaseme?

Kwa hiyo Zari angelkuwa naye mauti insingemfika? Au labda unataka Dai awe na mtu mwingine?

NINADHANI SI BUSARA KUMTUKANA ZARI ETI KAMSIFIA EX WAKE AS IF KUACHANA NI UADUI.
MBONA HUKUMKATAZA KWENDA KUMWUGUZA?
UNADHANI WANGELIKUWA NA UADUI KAMA UNAOUTAKA WEWE, NANI ANGERUHUSU ZARI KUKAA NAYE AKIWA KWENYE COMMA?

ETI UMALAYA!, WEWE UNAJUA NI KITU GANI KILIMFANYA ZARI WAKAACHANA HADI AKAKUTANA NA DIAMOND?

ACHENI KUINGILIA MAHUSIANO YA WATU. KAMA ULIVKUWA UNAJALI SANA,ULITAKIWA KUWASULUHISHA BADALA YA KUJA NA COMMENTS ZENYE CHUKI. MAPENZI HAYALAZIMISWHI, YAKIISHA YAMEISHA LAKINI HATA YAKIISHA HAKUNA MTU MBAYA AMA MZURI KILA ENEO. ZURI LINASEMWA NA BAYA LINASEMWA.

WMACHENI ZARI JAMANI. NAYE NI BINADAMU TENA ANA DAMU NA NYAMA KAMA WEWE.
Ahsante sana, umemaliza kila kitu
 
Mbona nakuona una aki lza kijima sana kuliko hata sisi vikongwe?

Kwa hiyo wewe unataka hata kama watu wanashindana waendelee kukaa wote kwa kuwa wanaume tutakufa na kuwaachia majonzi?

Unafahamu kwamba kuachana kunaweza kuongeza ustawi katika maisha na malezi ya watoto kuliko mnavyowaua watoto kisaikolijia vile wanavyokua wakishughudia mnagombana na kudhalilishana kila sku?

Unaelewa kwamba umbali unaweza kuumba amani na ustarabu mzuri kwa maisha ya wahusika wote?

Kwa mtazamo wako wewe, unamaanisha watu wakiachana kwa tofauti katika upande mmoja basi mazuri yao wote yafe? Unaelewa kwamba mtu anaweza kuwa great man kwa ubunifu wa kibiashara lakini asiwe a good lover?
Unafahamu mtu anaweza kuwa handsome na mchapa kazi lakini akashindwa kukaa na mwanamke kwa ajli ya kutokujali ndugu, ubinafsi ama kiburi?

Unaweza kuelewa kwamba mtu anaweza kuwa na kila kitu lakini maumbile mkashindwana?

Unaweza kufikiria mtu anaweza kuwa great in all other things lakini akawa mshirikina na mwenziye asikubaliane naye?

Kwa hiyo unataka kwamba mkitofautishana kiasi cha kutokuvumiliana katika nyanja moja, basi yale mazuri ya mwenxiyo usiyaseme?

Kwa hiyo Zari angelkuwa naye mauti insingemfika? Au labda unataka Dai awe na mtu mwingine?

NINADHANI SI BUSARA KUMTUKANA ZARI ETI KAMSIFIA EX WAKE AS IF KUACHANA NI UADUI.
MBONA HUKUMKATAZA KWENDA KUMWUGUZA?
UNADHANI WANGELIKUWA NA UADUI KAMA UNAOUTAKA WEWE, NANI ANGERUHUSU ZARI KUKAA NAYE AKIWA KWENYE COMMA?

ETI UMALAYA!, WEWE UNAJUA NI KITU GANI KILIMFANYA ZARI WAKAACHANA HADI AKAKUTANA NA DIAMOND?

ACHENI KUINGILIA MAHUSIANO YA WATU. KAMA ULIVKUWA UNAJALI SANA,ULITAKIWA KUWASULUHISHA BADALA YA KUJA NA COMMENTS ZENYE CHUKI. MAPENZI HAYALAZIMISWHI, YAKIISHA YAMEISHA LAKINI HATA YAKIISHA HAKUNA MTU MBAYA AMA MZURI KILA ENEO. ZURI LINASEMWA NA BAYA LINASEMWA.

WMACHENI ZARI JAMANI. NAYE NI BINADAMU TENA ANA DAMU NA NYAMA KAMA WEWE.
Mkuu soma kwa makini sio kuandika vitu kedekede bila kujua point yangu hasa ni nn?? By the way umenena mengi ambayo hata mm sikuyagusia..ama umeandaa huo ujumbe kabla au unajibu maswali ya wengine kupitia post yangu
 
Back
Top Bottom