Ndo hicho nilichokua nakisema maana Maraga CJ mwenzao huko Kenya alifanya yake sema naona jamaa hapo juu anajitoa ufahamu...Mkuu hapa nadhani mahakama ili ingiliwa
Ukisoma judgement yote utakutana na mashaka kwani alisema
Mgombea binafsi si swala la mahakama Bali ni bunge lenye mamlaka ya kutunga sheria
Akasahau even court could make a judge made lawa (precedent)
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi huwa hawajui kama ni mkristo
Hvi kwanini hutaki kuja!??Wow,.msalimie sana askofu wetu Jackson Sosthenes[emoji7][emoji7]
Hapana Askofu Ramadhani ni Baba yake mdogo..Wengi huwa hawajui kama ni mkristo
Kwao wapo waislamu na wakristu
Huyu ni mdogo wa Askofu Mkuu Ramadhani si ndio?
Rest In Peace Mzee wetu
You were just a humble person
Upole mwingi Heshima na Hekima
Njoo unibebe mgongoniii😜😃😃
💃💃💃Ila wewe unajifanya mjanja sana[emoji23][emoji23]
Haya salamu zimefika!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hvi nakuita tangu lini jamani!?Njoo unibebe mgongoniii[emoji12][emoji2][emoji2]
Wiki hii uje kusali kwetu ibada ya pili tafadhali,,😊
Nna deka jamanii mtoto wa kikee😄Hvi nakuita tangu lini jamani!?
Hebu Njoo sasa [emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah hvi mnakuwa wangapi maana sisi tumepungua sana...hvi pale mpo na father!!?wiki hii njoo wewe mie nije wiki ijayoWiki hii uje kusali kwetu ibada ya pili tafadhali,,[emoji4]
Hilo ni zao mhimu sana la biashara. Nenda pale upande wa pili wa Mlima Kilimanjaro, wao wamelipa jina zao hilo "Kilimanjaro....", huku bado wewe unawazo tu?Haaahaah basi hakuna shida Mkuu, tuendelee na maombi, kikubwa pumzi! Natafuta shamba tulime bangi hata kwenye greenhouse
Kama umefurahi,nimefurahi pia..Hahah sio siri na kudeka unajua Aisee!!
Leo japo nina msiba ila umenifurahisha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante....hujaniambia inaanza muda gani Sasa!!??Kama umefurahi,nimefurahi pia..