TANZIA TANZIA: Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani afariki dunia

TANZIA TANZIA: Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani afariki dunia

Wangari Maathai,
Nadhani kama mchakato wa urais 2015 ungesimamiwa vizuri huyu ndiye alikuwa mgombea mwenye sifa zote. Alichukuwa fomu lakini sijui kwa nini waliliondoa jina lake mapema sana. Tena kuna watu walisema Kikwete ndiye aliyemwomba achukue fomu.

Angekuwa rais ina maana tungeondokewa na rais aliye madarakani kwa kifo. Au pengine angekuwa amepata checkup na matibabu mazuri na hivyo asingefariki kipindi hiki?
 
RIP JAJI, ILA UYU SI NDIYE YULE ALICHAKACHUA KURA ZETU KUIPENDELEA CCM??
RIP BAHARIA
Alipindisha sheria kumnusuru mzee wa kiroba cha dhahabu na mil 900. Kwenye kesi ya Mrema, hata hivyo alikiri yeye mwenyewe kwa mdomo wake kwenye hotuba yake ya kustaafu.
 
Nadhani kama mchakato wa urais 2015 ungesimamiwa vizuri huyu ndiye alikuwa mgombea mwenye sifa zote. Alichukuwa fomu lakini sijui kwa nini waliliondoa jina lake mapema sana. Tena kuna watu walisema Kikwete ndiye aliyemwomba achukue fomu. Angekuwa rais ina maana tungeondokewa na rais aliye madarakani kwa kifo. Au pengine angekuwa amepata checkup na matibabu mazuri na hivyo asingefariki kipindi hiki?


Kama angeamua kutuongoza kwa haki naamini Mungu asingemchukua ..!la sivyo leo tungekuwa tunaongelea mengine
 
.... Angekuwa rais ina maana tungeondokewa na rais aliye madarakani kwa kifo. Au pengine angekuwa amepata checkup na matibabu mazuri na hivyo asingefariki kipindi hiki?
... hizo nge, nge; hiyo ndio maana halisi ya conspiracy theory!
 
Acha uongo. Huyu Jaji ndiye alimpa Mtikila ushindi mahakamani. Halafu serikali ikakimbilia Bungeni kubadilisha sheria.
Huyu Jaji alimkatili sana Mtikila kwenye kesi ile ya mgombea binafsi alachakachua matokeo ya kesi kumbe alikua na kadi ya CCM mfukoni...akalazwe anapostahili...
 
Actually, ndio inakuchukuwa kirahisi. Na ndio maana inaua wazee kuliko vijana kwa vile wazee wana magonjwa ya muda mrefu.
Senior citizen wengi wako na underlaying medical issue,,Kuna mmoja kule congo nimesikia aling'oa Jino tu,virus ikapita nae
 
tashwishwi, Nimependa alivyowaacha watoto katika mazingira mazuri.

Wakwanza yapo 30 na wengine wapo 20s lakin wanamaisha mazuri Kwa sababu Mzee amewajenga.

NB: Tuwatengenezee watoto mazingira mazuri tusiwatelekeze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo. Huyu Jaji ndiye alimpa Mtikila ushindi mahakamani. Halafu serikali ikakimbilia Bungeni kubadilisha sheria.
Unazungumzia mtikila ipi One au Two? Mimi nazungumzia ile ambayo Kabudi alikua amicus curiae...sema wapi nilipodanganya maana kwenye hio mtikila II huyu bwana alivijua mamlaka ya kimahakama na kusema swala hili liende bungeni likatatuliwe kisiasa kitu ambacho hakikuulizwa kabisa...
 
Back
Top Bottom