TANZIA: Jaji Mstaafu Mussa Kwikima afariki dunia katika Hospitali ya Kairuki

TANZIA: Jaji Mstaafu Mussa Kwikima afariki dunia katika Hospitali ya Kairuki

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Jaji Mstaafu Mussa Kwikima amefariki leo Aprili 27, 2020 katika Hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam

Alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini na Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya chama cha ACT Wazalendo na amewahi kushika nafasi mbalimbali katika chama hicho ikiwemo Mjumbe wa Kamati Kuu na Mshauri wa Chama

Aidha, itakumbukwa kuwa baada ya kustaafu Jaji Kwikima alifanya kazi ya Uwakili

ECF96D12-CF76-4A82-9D16-DEB0D87C6FD4.jpeg
 
Poleni sana wafiwa. Jamani malaria imepamba moto. Lakini inaonekana kufukiza kumeimaliza corona kabisa.
Yap corona siyo shida tena,sasa naona China fever ndo tishio!!

IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!
 
R. I. P poleni ACT kwa pengo alilo liacha mwanachama
#corona inaua stay home stay safe kwapamoja tutaishinda
 
CCM bado hawajapanga utaratibu wa mazishi.!??
 
Jaji Mstaafu Mussa Kwikima amefariki leo Aprili 27, 2020 katika Hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam

Alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini na Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya chama cha ACT Wazalendo na amewahi kushika nafasi mbalimbali katika chama hicho ikiwemo Mjumbe wa Kamati Kuu na Mshauri wa Chama

Aidha, itakumbukwa kuwa baada ya kustaafu Jaji Kwikima alifanya kazi ya Uwakili

View attachment 1432772
Inna lillah wa ilahyi rajiun
 
Back
Top Bottom