Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ninamkumbuka mate, ooh amefika na mzee wake. Apumzike kwa amani mzee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninamkumbuka mate, ooh amefika na mzee wake. Apumzike kwa amani mzee.
Usafiri gani?ECO auAlikuaga abiria wangu wa kila siku. Kutoka tabora namuacha usoke. inalilahi wainalilahi rajiun
Sent using Jamii Forums mobile app
Na yale maombi kwa Mungu vipi?Poleni sana wafiwa. Jamani malaria imepamba moto. Lakini inaonekana kufukiza kumeimaliza corona kabisa. Juma sasa limepita bila kusikia kisa chochote cha corona.
Hapo ndio umejibu swali?Marehemu ni mmoja wa wanasheria wa mwanzo mwanzo kuhitimu toka kwenye kitivo chetu cha sheria.
Swali jibu wewe ulieliona, Mimi nimetoa maelezo kuhusu marehemu.
Aweke ushahidi Wa kuwa walikataa hospital kumpokeaUnajua Serikali iache mambo ya kihuni na wajinga wa ccm waanze kuelewa jaman watu wanakufa sana na wengi wao ni corona imesababisha yan vyotote wanavyokufa ni corona sababu wengine wanaenda hospitali wanaumwa magonjwa mengine ila hawashughulikiwi ontime sababu ya corona hiyo hiyo, endeleen kumsikiliza baba yenu mwongo mwongo tatizo likifika kwenye ngazi ya familia ndio mtaelewa maana yake sasa View attachment 1432918
Angalia huyu dada alivyolalamika. Watu wanapenda sana madaraka kuliko watu waliowaweka kwenye madaraka
Sent from my iPhone using JamiiForums
APUMZIKE KWA AMANI.Jaji Mstaafu Mussa Kwikima amefariki leo Aprili 27, 2020 katika Hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam
Alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini na Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya chama cha ACT Wazalendo na amewahi kushika nafasi mbalimbali katika chama hicho ikiwemo Mjumbe wa Kamati Kuu na Mshauri wa Chama
Aidha, itakumbukwa kuwa baada ya kustaafu Jaji Kwikima alifanya kazi ya Uwakili
View attachment 1432772
Kwa hiyo wewe hujaona swali? Unadhani muuliza swali alikuwa anahitaji hayo maelezo yako au anahitaji jibu la swali alilouliza?Swali jibu wewe ulieliona, Mimi nimetoa maelezo kuhusu marehemu.
Siku za nyuma tuliambiwa sababu ya kifo cha mhusika ila nyakati hizi tunafuchwa.
I wonder why.
| Subiri ufiwe wewe,utuambie sababu ya kifo | |
Kikwima alipokua wakili alipigwa munda na hukumu yake mwenyewe alioitoa alipokua jajiHuko anakwokwenda ndiko anakutana na jaji wa majaji.. kama alipindisha mistari hapa duniani basi huko ni mnyoosho tu! Kwa maana hawa kazi zao za ujaji wa dunia zina changa moto nyingi sana. By the way alale panapostahili🙏
Kikwima alipokua wakili alipigwa munda na hukumu yake mwenyewe alioitoa alipokua jajiHuko anakwokwenda ndiko anakutana na jaji wa majaji.. kama alipindisha mistari hapa duniani basi huko ni mnyoosho tu! Kwa maana hawa kazi zao za ujaji wa dunia zina changa moto nyingi sana. By the way alale panapostahili🙏