Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.. yani unataka kuniambia ngariba alitahiriwa siku hiyo😯Kikwima alipokua wakili alipigwa munda na hukumu yake mwenyewe alioitoa alipokua jaji
Maskini nimesoma na mwanaye..uwii pole dada Sheila Kwikwima na mdogo wako😭😭😭😭!
Na yale maombi kwa Mungu vipi?
Yes,upande wa jamhuri ukatoa hukumu yake kama precedent,kesi ikafa hapo hapo,nadhani ilikua taboraDuh.. yani unataka kuniambia ngariba alitahiriwa siku hiyo😯
Aweke ushahidi Wa kuwa walikataa hospital kumpokea
Viongozi wetu wametutelekeza kipindi hiki.Unajua Serikali iache mambo ya kihuni na wajinga wa ccm waanze kuelewa jaman watu wanakufa sana na wengi wao ni corona imesababisha yan vyotote wanavyokufa ni corona sababu wengine wanaenda hospitali wanaumwa magonjwa mengine ila hawashughulikiwi ontime sababu ya corona hiyo hiyo, endeleen kumsikiliza baba yenu mwongo mwongo tatizo likifika kwenye ngazi ya familia ndio mtaelewa maana yake sasa View attachment 1432918View attachment 1432919
Angalia huyu dada alivyolalamika. Watu wanapenda sana madaraka kuliko watu waliowaweka kwenye madaraka
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yah hujakosea, ilikuwa shule gani?hata mimi nimesoma na wanawe watatu wa kiume walikuwa wanafuatana hivi mmoja kama sikosei akiitwa rama kwikima.....sad..
Viongozi wetu wametutelekeza kipindi hiki.
Viongozi wetu wametutelekeza kipindi hiki.
Shule gani mkuu?hata mimi nimesoma na wanawe watatu wa kiume walikuwa wanafuatana hivi mmoja kama sikosei akiitwa rama kwikima.....sad..
Aise....Unajua Serikali iache mambo ya kihuni na wajinga wa ccm waanze kuelewa jaman watu wanakufa sana na wengi wao ni corona imesababisha yan vyotote wanavyokufa ni corona sababu wengine wanaenda hospitali wanaumwa magonjwa mengine ila hawashughulikiwi ontime sababu ya corona hiyo hiyo, endeleen kumsikiliza baba yenu mwongo mwongo tatizo likifika kwenye ngazi ya familia ndio mtaelewa maana yake sasa View attachment 1432918View attachment 1432919
Angalia huyu dada alivyolalamika. Watu wanapenda sana madaraka kuliko watu waliowaweka kwenye madaraka
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unaweza kutufafanulia kidogo AhsanteKikwima alipokua wakili alipigwa munda na hukumu yake mwenyewe alioitoa alipokua jaji
Una mahusiano yeyote na huyu Judge?
Alishindwa kesi bada ya upande wa pili kuweka pingamizi kwa kutumia hukumu alioitoa alipokua muheshimiwa jajiUnaweza kutufafanulia kidogo Ahsante
Una maana yeye alitoa hukumu halafu baadae akawa wakili?Alishindwa kesi bada ya upande wa pili kuweka pingamizi kwa kutumia hukumu alioitoa alipokua muheshimiwa jaji
Ilikua fedheha kubwa sana