TANZIA: Jaji Mstaafu Mussa Kwikima afariki dunia katika Hospitali ya Kairuki

TANZIA: Jaji Mstaafu Mussa Kwikima afariki dunia katika Hospitali ya Kairuki

Unajua Serikali iache mambo ya kihuni na wajinga wa ccm waanze kuelewa jaman watu wanakufa sana na wengi wao ni corona imesababisha yan vyotote wanavyokufa ni corona sababu wengine wanaenda hospitali wanaumwa magonjwa mengine ila hawashughulikiwi ontime sababu ya corona hiyo hiyo, endeleen kumsikiliza baba yenu mwongo mwongo tatizo likifika kwenye ngazi ya familia ndio mtaelewa maana yake sasa
IMG_1877.JPG
IMG_1878.JPG


Angalia huyu dada alivyolalamika. Watu wanapenda sana madaraka kuliko watu waliowaweka kwenye madaraka


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Jaji Mstaafu Mussa Kwikima amefariki leo Aprili 27, 2020 katika Hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam

Alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini na Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya chama cha ACT Wazalendo na amewahi kushika nafasi mbalimbali katika chama hicho ikiwemo Mjumbe wa Kamati Kuu na Mshauri wa Chama

Aidha, itakumbukwa kuwa baada ya kustaafu Jaji Kwikima alifanya kazi ya Uwakili

View attachment 1432772
Aliwahi kuwa mwanachama wa UDP na baadae CHADEMA then akahama na wimbi la kina MM1.

Nimewahi kuwa mpangaji wake pale Ussoke he was a very intelligent man na kwenye sheria alisumbua sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom