Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hapo tutaambiwa tu kuwa atazikwa na serikali na wahudhuriaji wasizidi 10 na Zitto asikanyage msibaniSiku za nyuma tuliambiwa sababu ya kifo cha mhusika ila nyakati hizi tunafuchwa.
I wonder why.