Ndio...akasimamia kesi ambayo ilikua inakinzana na hukumu alioitoa alipokua jaji,alijisahau!Una maana yeye alitoa hukumu halafu baadae akawa wakili?
Ilipelekea mpaka jajimkuu atoe ushauri kwamba,majaji wakistaafu ni vizuri wajikite,kutafiti,kuandika na kufundisha sheria badala ya kuwa wakili wa kujitegemea