Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hapo tutaambiwa tu kuwa atazikwa na serikali na wahudhuriaji wasizidi 10 na Zitto asikanyage msibaniSiku za nyuma tuliambiwa sababu ya kifo cha mhusika ila nyakati hizi tunafuchwa.
I wonder why.
Sheila ndio Pili au ni mkubwa na mdogo?!Maskini nimesoma na mwanaye..uwii pole dada Sheila Kwikwima na mdogo wako😭😭😭😭!
Sheila ndio Pili au ni mkubwa na mdogo?!
Aliwahi kuwa mwanachama wa UDP na baadae CHADEMA then akahama na wimbi la kina MM1.Jaji Mstaafu Mussa Kwikima amefariki leo Aprili 27, 2020 katika Hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam
Alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini na Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya chama cha ACT Wazalendo na amewahi kushika nafasi mbalimbali katika chama hicho ikiwemo Mjumbe wa Kamati Kuu na Mshauri wa Chama
Aidha, itakumbukwa kuwa baada ya kustaafu Jaji Kwikima alifanya kazi ya Uwakili
View attachment 1432772
Asante Mkuu
Yule mkubwaSheila ndio Pili au ni mkubwa na mdogo?!
hata mimi nimesoma na wanawe watatu wa kiume walikuwa wanafuatana hivi mmoja kama sikosei akiitwa rama kwikima.....sad..Maskini nimesoma na mwanaye..uwii pole dada Sheila Kwikwima na mdogo wako😭😭😭😭!
..duh so sadhata mimi nimesoma na wanawe watatu wa kiume walikuwa wanafuatana hivi mmoja kama sikosei akiitwa rama kwikima.....sad..
Aliwahi kuwa mwanachama wa UDP na baadae CHADEMA then akahama na wimbi la kina MM1.
Nimewahi kuwa mpangaji wake pale Ussoke he was a very intelligent man na kwenye sheria alisumbua sana.
Sent using Jamii Forums mobile app