TANZIA: Jaji Mstaafu Mussa Kwikima afariki dunia katika Hospitali ya Kairuki

Una maana yeye alitoa hukumu halafu baadae akawa wakili?
Ndio...akasimamia kesi ambayo ilikua inakinzana na hukumu alioitoa alipokua jaji,alijisahau!
Ilipelekea mpaka jajimkuu atoe ushauri kwamba,majaji wakistaafu ni vizuri wajikite,kutafiti,kuandika na kufundisha sheria badala ya kuwa wakili wa kujitegemea
 
Kibatala huyu kitukuu kwenye sheria? Hivi uliona ile interview ya kikeke na Kibatala iliyohusu ushindi wa Kesi wa mteja wake kwikima? Hebu kueni na adabu ' kwikima si wakulinganishwa na kitoto kama kibatala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…