Ndio...akasimamia kesi ambayo ilikua inakinzana na hukumu alioitoa alipokua jaji,alijisahau!Una maana yeye alitoa hukumu halafu baadae akawa wakili?
Una mahusiano yeyote na huyu Judge?
Poleni Sana....Sada Kwikima yuko wapi siku hizi?Ndio me Mwanae
Pole sana Mkuu,mzee hakuandika kitabu?Ndio me Mwanae
La kurunyaRip. Chanzo cha kifo?
Kipo lakini hakijakamilika, kitakuja cku za mbelePole sana Mkuu,mzee hakuandika kitabu?
MwanzaPoleni Sana....Sada Kwikima yuko wapi siku hizi?
mudio boss..Yah hujakosea, ilikuwa shule gani?
Sawamudio boss..
Kibatala huyu kitukuu kwenye sheria? Hivi uliona ile interview ya kikeke na Kibatala iliyohusu ushindi wa Kesi wa mteja wake kwikima? Hebu kueni na adabu ' kwikima si wakulinganishwa na kitoto kama kibatalaYes,upande wa jamhuri ukatoa hukumu yake kama precedent,kesi ikafa hapo hapo,nadhani ilikua tabora
Ilibidi jaji mkuu waki ule francis nyalali,awashauri majaji wakistaafu,wajishughulishe na kuandika na kufundisha badala ya uwakili binafsi,watadhalilishwa na 'wahuni' kina kibatala