engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
mungu akupe mkuu kiiza
sijui ni lini haya matatizo ya wajawazito kufa yataisha lini hapa bongo,nchi za wenzetu ni ndoto sana kusikia ujauzito umetoa uhai wa mtu.hata kama ipo ni nadra ukilinganisha na hapa kwetu
R.I.P SHEMEJI YETU
sijui ni lini haya matatizo ya wajawazito kufa yataisha lini hapa bongo,nchi za wenzetu ni ndoto sana kusikia ujauzito umetoa uhai wa mtu.hata kama ipo ni nadra ukilinganisha na hapa kwetu
R.I.P SHEMEJI YETU