Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Inasikitisha sana....Mauti yalivyomkuta Mrisho Khalfan wa Mbao FC.... ANGALIA pia BAO alilofunga na alivyoshangilia dakika chache kabla ya mauti.... Hakika Mungu ni mkubwa....
Hivi mnajua kuwa kuangalia video hizi za Facebook ni lazima uwe na account huko? Akaunti yangu ya Facebook niliifutilia mbali mwaka 2015 baada ya kuchoshwa na "axante beb gd9 2taxem kxho" na kuamua kujiunga JF. Video za YouTube ndo poa bana.
Mrisho Khalfan apumzike salama. Kama amefia uwanjani basi aangalau ameondoka wakati akifanya kitu akipendacho na hakuteseka. Sisi tuliobaki hatujui tutaondokaje. Jina la Bwana na lihimidiwe!