Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Inasikitisha sana....Mauti yalivyomkuta Mrisho Khalfan wa Mbao FC.... ANGALIA pia BAO alilofunga na alivyoshangilia dakika chache kabla ya mauti.... Hakika Mungu ni mkubwa....
https://www.facebook.com/video.php?v=1350999384945561
Ingawa kifo au ajali anapanga muumba lakini upo umuhimu wa kuhakikisha hao watoa huduma wanakuwa na utaalamu wa kutosha pamoja na vifaa stahiki. Hivi unafahamu marehemu alipelekwa hospitali na gari la zima moto?Duh hizi first aid za bongo. Kila mtu anavuta mguu wake
Nchi ya hovyo hii, hata mie kila siku naliona fire ila sijawahi kuliona ambulance uwanjaniInadaiwa Ambulance haikuwapo uwanjani, alipelekwa na gari ya fire, pole kwa familia
Apumzike kwa amani ndogo wetu
Ambulance mpaka SIMBA na YANGA.Nchi ya hovyo hii, hata mie kila siku naliona fire ila sijawahi kuliona ambulance uwanjani
Rip Ismail hakuna kifo kinachokosa sababu wengine watakihusisha na nguvu za gizaMchezaji wa mbao FC, Ismail Khalfani Mrisho afariki baada ya kugongana na mchezaji wa Mwadui FC kwenye mtanange uliochezwa uwanja wa Kaitaba, Bukoba kwa wachezaji walio chini ya miaka 20 (U20).
View attachment 442735
Photo Credit; Faustine Ruta
==================
UPDATE
Mechi hiyo ilikuwa inachezwa kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba ambako michuano ya vijana chini ya miaka 20 inaendelea.
Ismail aligongana na beki wa Mwadui FC wakati wakiwania mpira na kuanguka na juhudi za kuokoa maisha yake zilionekana kukakwama.
Wakati mauti yanamkuta Ismail, dakika chache kabla alikuwa amefunga bao dhidi ya Mwadui.
Pamoja na kukimbizwa hospitali ya Rufaa ya Kagera, taarifa baadaye zilizopatikana zilieleza, Ismail alifariki palepale uwanjani.
MCHOCHEZI[emoji15] [emoji115] [emoji3]On behalf of myself and the people of Korinto,
May God put his soul in a perfect place!
Jamani tuangalie na matumizi ya on behalf tutaharibu lugha za watuOn behalf myself and the people of Igwachanya R.I.P
Mkuu hii hali huwa inatokea sana kwenye michezo kwa mfano hata Marc Vivien Foe hakuwa amegongana na mtu ila alianguka tu peke yake na kifo kilimkuta pale pale .pamoja na yote, nadhani kuna haja ya kuwa makini katika kupima afya ya wachezaji na kufuatilia maendeleo yao kiafya kila wakati ili kujiridhisha kama wako fit kwa mechi....
Lilikua tukio la kawaida sana katika mchezo jambo ambalo linanishawishi kwamba labda hali yake ya afya haikuwa nzuri.
Pole kwa familia, pole kwa Mbao Fc pole kwa wapenda soka wote..
R.I.P