Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia


Alionywa kutobishana na watu ovyo mitandaoni, hajui wengine ni watu au majini, mzuri yeye, akawa anawakashfu wenye sura mbaya, aya yamemkuta sas
 
Inasikitisha kuona watu wengi wanampa pole Lulu kama vile marehemu alikuwa hana mke.

Yaani Lulu alikua anaiba mume wa mtu anapewa pole kama vile ni utamaduni wa kiTanzania.

Inabidi kukemea wasichana na wanawake wanaingilia ndoa za watu.

Hawa wanawake mnashadadia wengi hamjaolewa hamjui kkiolewa itakuwaje kwenu. Mumuombe Mungu haswa maana ni hatari.

Natoa pole kwa mke na familia ya marehemu.
 
Achana nae mbwa koko anatafuta umaarufu, hana hadhi ya kurumbana na wewe, unampa airtime ya bure tahira huyo, mzee mzima kazi umbea badala ya kulea familia, sijui halina kazi hasubuhi hasubuhi umbea mfyuuu mbwa huyo

we matako nini ishu hapa sio wewe kupost umbea ishu hapa ni wewe kutumia jina la MWANAUME ilihali we ni choko huoni km unatudhalilisha wanaume?
 
Nitakuleteaa pia hiyo haijapitishwa bado si unajua jk nae anavyopenda umbeaa

Watu mna maneno sana...Kwahiyo Bwana mkubwa kabisa nayy anaogopa akiisaini Sheria hiyo inaweza kuanzia kwake duh....hii nimeipenda
 
NAsikia lile BMW la diamond alimpa yeye zawadi, kweli seky alikuwa ana huruma, na nyumba kamsaidia kujenga

Binamu ile gari ilikua inauzwa 120m ikakosa mteja arusha ikaletwa dar madalali ndio walimuuzia domo kwa 90m ndio mana cku ile nlisema hiyo gari domo kabadili plate no ilikua no c
 
Roho inauma jamani imagine ww ni lulu!!pole aisee she is too young to face all of that muombe mungu akusaidie

Too young kufanyaje? Kulala na waume za watu?

Aache atafute single man aolewe tatizo lake na wengi ni tamaa ya maisha ya juu tamaa za pesa za waume za watu.

Pole kwa mke na familia.
 
Unaacha mkeo ndani...

Mwanamke wa haja...

Unafata cha wote ptuuuuu...

Mpenzi usisahau kuwa wengi wao huwa inakuwa kizuri kabla hujakipata na kukimiliki jumla.... ukishakipata unakipa thamani ua 'ukawaida' ilhali jirani anakikodolea macho.

Huko kwenye 'vituo vya daladala' huwa wanafuata fame, majina nae aonekane anatoka na mtoto mkali wa mjini na wengine wananaswa na 'mitego ya kalumanzila' bila kujijua.

Ndio maana dini zinashauri wanawake kuwaombea sana waume na ndoa zao kila watokapo na waingiapo maana ibilisi amelikamata sana hili gurudumu la ndoa. Hali kadhalika waume nao wapaswa kuwaombea wake na ndoa zao. Mwanaume simply because umemuoa mwanamke ukamzalisha na kumweka ndani haimaanishi kuwa ndio mwisho wa yeye kutamaniwa au kupendwa msijiridhishe.
 

nashangaaaq
alitumwa afanye ukahaba na mme wa mtu..
 
Mkiambiwa mkae mbali na wa machame mnasema hizo ni kasumba tu... Endeleeni kupukutika. KiLulu chenyewe sasa mbilikimo si mbilikimo ah watu tumetofautiana kwa kweli.

Acha kupotosha na kueneza chuki lulu ni Mchaga wa Rombo una lako na wamachame si Bure.
 

umeona eeeehhh
huu si uwendawazimu huuu
 
Benz inakula mafuta na spea ghali ndio maana tunakimbilia kwenye vitz

Ah KIGILAGILA mbona naona kqama ni kinyume? Hao mnaowaita vits nadhani ndo wana gharama zaidi ya mabenzi yenu nyumbani.
We vits uaipangishia gereji MbeI Beach full furnished house... fence kubwa, garden ya haja.... unailisha mafuta full tank kila wiki na sometimes unaipa na gari ya kubadilisha Bado shopping sijui. mkeo tangu umnunulie Rav4 miaka 2 ilopita hata hujitingishi.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…