sinyoritah
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 552
- 346
Mmmh raha ya bilionea shurti nawe unukie mpesa mpesa sio kufa leo kesho wawaza natokaje huyo shoga lulu naomba tu huo ubilionea awe kautumia vzr lasivo bora kubakia na kajamba nani wangu......AHahah hah ni speaking
Ila ki ukweli wadada wengi wanatamani nafasi aliyokuwa nayo lulu, mtoto mzuri, ana bahati maana kutoka na billionea sio mchezo, wengine ukoo wao wote wanaishia kuolewa na kuzalishwa na mavuvuzela ila lulu ana bahat ambayo wadada wengi wanaitamani na hawana, naona watakuwa wamefurah sana yaliyomkuta