Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

mbona huwa anasema ye mchaga....yule nae ni muongo muongo tu labda kweli mpare si unamchek shot cheses

Babake Mchaga wa Rombo kabisa Tena alihojiwaga kipindi kile cha sakata la Kanumba.
 
Da mjadala mtamu kwel ila binafsi naona ni tamaa tu akuna kingine
 
umeona eeeehhh
huu si uwendawazimu huuu

Yaani inachosha hata ukikimbia kusoma utakutana nayo tena kwingine...

Kuiba waume wa watu hadi anaejifanya mpendwa wa Tanzania nae anaishi kwa kuiba waume

Hakuna anayejionyesha kuwa haya ona nafanya hivi nachuma kwa jasho langu.

Mungu aniepulie mabinti zangu wasije wajua hata kuwasoma mitandaoni.
 
prof anasema.... ila lulu n mtamu aiseee....!!!

Duh nawe umepita hapo? Haiseee

Ila naona wasanii kugawa gawa ndio wanapata umaarufu....na wengine kulia vizazi na bado wana gawagawa tu.
 
Tumwombee uyu dogo maana pengine si yeye anapenda bali kuna roho zinamfuatilia! Sidhani kama anapenda kuona kila cku ana make headline za magazeti kwa mabaya namna hii.

Muombee aache kulala na waume za watu.

Kwani mke anayeibiwa mume na kumfanya mume wa mtu ale nae raha kama vile hana familia

Kilio hicho nacho kibaya

Aache kulala na waume za watu mie siwezi mpa pole, pole ni kwa mke na familia.
 
Ningekuwa ndugu wa huyo mke, ni kumchalaza tu Lulu akisubutu kuingia msibani au anapozikwa.
 
Yaani inachosha hata ukikimbia kusoma utakutana nayo tena kwingine...

Kuiba waume wa watu hadi anaejifanya mpendwa wa Tanzania nae anaishi kwa kuiba waume

Hakuna anayejionyesha kuwa haya ona nafanya hivi nachuma kwa jasho langu.

Mungu aniepulie mabinti zangu wasije wajua hata kuwasoma mitandaoni.

ameen Mungu atusaidie
 
Huyu Johnson mbona mke wake mzuri tu mtoto wa kichaga. Au wameachana?mabwaku
Umechanganya huyu mwenye mke wa kichaga ni Johns yeye ni mkubwa Lulu anatoka na mdogo wake yule wa epa alioa msukuma wakaachana.
 
Duh nawe umepita hapo? Haiseee

Ila naona wasanii kugawa gawa ndio wanapata umaarufu....na wengine kulia vizazi na bado wana gawagawa tu.

prof anasema... mbona hata we ukitaka unampataaa... sema dau lake n kubwa sanaaa.... ana dau kubwa sana huyu mtoto.....
 
Back
Top Bottom