sinyoritah
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 552
- 346
Mmmh raha ya bilionea shurti nawe unukie mpesa mpesa sio kufa leo kesho wawaza natokaje huyo shoga lulu naomba tu huo ubilionea awe kautumia vzr lasivo bora kubakia na kajamba nani wangu......AHahah hah ni speaking
Ila ki ukweli wadada wengi wanatamani nafasi aliyokuwa nayo lulu, mtoto mzuri, ana bahati maana kutoka na billionea sio mchezo, wengine ukoo wao wote wanaishia kuolewa na kuzalishwa na mavuvuzela ila lulu ana bahat ambayo wadada wengi wanaitamani na hawana, naona watakuwa wamefurah sana yaliyomkuta
Ila du huko aliko anajiona kama anagundu flani hivi
oyaa b
tufanye yetu pliiiZ!!
Masikini kaka wa watu! Kumbe huyu ndiye aliyekua anampa jeuri eeh?
Haya sasa.
hahaaaaaaaaaaa kila mtu anasema aliongea na marehemu mara masaa mawili, mara matatu
halafu wote aliwaambia atawasiliana nao baade
hahahaaa we mwana apolo weee mtata sanaKuna lile lizee liongo hilo acha kabisa mzee mzima unaongea ujinga cjui huko ulaya halikujifunza maisha linarudi mjini kuwalamba wa2 walisaidie.naskia linapiga mizinga matonya anasubiri hapo
Unaacha mkeo ndani...
Mwanamke wa haja...
Unafata cha wote ptuuuuu...
Ila Hii picha ndo imenifanya niamini kweli nyumba ndogo ni Hatari
mbona huwa anasema ye mchaga....yule nae ni muongo muongo tu labda kweli mpare si unamchek shot chesesKimemeta c wachaga labda ni mpare ndio mana mama kanumba n mama lulu damdam wote wanatoka kuleeee
mbona huwa anasema ye mchaga....yule nae ni muongo muongo tu labda kweli mpare si unamchek shot cheses
Watu mna maneno sana...Kwahiyo Bwana mkubwa kabisa nayy anaogopa akiisaini Sheria hiyo inaweza kuanzia kwake duh....hii nimeipenda
hahahaaa we mwana apolo weee mtata sana
we matako nini ishu hapa sio wewe kupost umbea ishu hapa ni wewe kutumia jina la MWANAUME ilihali we ni choko huoni km unatudhalilisha wanaume?
Ila du huko aliko anajiona kama anagundu flani hivi
Mkiambiwa mkae mbali na wa machame mnasema hizo ni kasumba tu... Endeleeni kupukutika. KiLulu chenyewe sasa mbilikimo si mbilikimo ah watu tumetofautiana kwa kweli.
Ahsante, tumeumia sana, yani toka jana nazimia, marehemu alikuwa ananisomesha