tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
kumbe alifukuzwa kazi?kwa nini?
Maisha yenyewe mafupi acha wa2 wale maisha jamani huku migodini kuna suluba acha 2 mtu unaweza kaa chini wiki bila kufika juu.istoshe rizki kugawana wengi wamefaidi kwa seki sio lulu tu
huyu mtoto namuonea huruma huku simuonei huruma. ni mtoto mdogo mno kukumbwa na visanga kama hivi. na yote hii ni kuvamia maisha katika umri mdogo, kujiona umekua wakati bado una safari ndefu. Watoto wa umri wake wako chuo wanasoma ili wawe na elimu waweze kujitegemea, yeye katika umri huu yuko busy kusaka waume za watu wenye pesa maana bongo limejaa matope, hawezi kutulia akasoma, anataka short cut. Siku zote ukitaka short cut ya maisha, unakumbwa na mikasa kama hii. Hana tofauti na jambazi. Alitamba sana muda si mrefu kwenye kipindi cha Zamaradi kua yeye ni mchaga anaipenda pesa na anajua kuitafuta... kumbe kuitafuta kwenyewe si kwa kujituma akajulikana anachokifanya, bali ni kuvunja ndoa za watu na kuvuliwa pichu... mwenyezi mungu tunusurie watoto wetu wasifikie alikofikia huyo mtoto mdogo mwenye malezi mabovu... nasema mabovu maana mama yake anaonekana kufurahia sana haya maisha ya huyu mtoto. Sidhani hata kama kuna siku ameshawahi kumkalisha chini na kumkemea hii tabia au kumshawishi arudi shule. majaribu anayopitia, ni ujumbe kua amevamia mambo makubwa angali mdogo, hivyo anatakiwa kutulia sasa. Nina imani mwanaume mwenye akili timamu atamuogopa huyu binti kama ukoma, unless kama hujipendi. wako wanaosema siku za hawa wanaume zilifika, sikatai, lakini why always siku zifike ukiwa katika mahusiano na huyu binti...??? something is wrong somewhere, amrudie mungu wake. mke wa huyu marehemu RIP, aliumia sana kwa ajili ya huyu mtoto, machozi yake ndio yameleta majibu kama haya. naomba hili liwe fundisho kwa mabinti wote wenye kupenda short cut katika maisha kwa kuvuruga ndoa za wengine.
Yaani ukisema hivyo ya wake mwisho wanne roho inauma balaa!
Uwizi ulizidi yani alikua anapakua mzigo kimyakimya kwa wiki alikua anaweza uza mawe y 600m kwa best yangu alifanya huo mchezo kwa 7mnth piga hesabu aliiba kiasi gani
Kwahiyo kushea kunashida gani mnapenda kuishi maisha ya tamthilia nifah hakuna mwanaume w hivyo kwenye 100 labda 2 ndio hawachepuki nyie ndio chanzo cha yote mnatamanisha n hivyo vilenzi mbinuko
hahaaaaa
sema lulu alijimilikisha jamani!
Yaani ukisema hivyo ya wake mwisho wanne roho inauma balaa!
kaiba sana kwa kweli,ila poa tu maana wazungu wanatuibia sana,safi sana seki.uzuri kafanya investiments za kutosha,mke na watoto hawatoadhirika,pia mkewe ana kazi ya maana.kassheshe ni hao michepuko kama huyo lulu sijui hiyo nyumba itabidi airudishe,maana mlipa rent ndo hayupo tena.Uwizi ulizidi yani alikua anapakua mzigo kimyakimya kwa wiki alikua anaweza uza mawe y 600m kwa best yangu alifanya huo mchezo kwa 7mnth piga hesabu aliiba kiasi gani
hhanlhahaaaaWake mwisho 4 istoshe lulu hajafaidi cha maana kuna bibie ananyumba n gari.pia seki mda wote alikua arusha dar alikua anakuja wkend kuangalia familia n biashara zake.halafu wewe nifah usicheke mamba kabla hujavuka mto
Acha hizo wewe.Mimi hapa naongea kama mwanamke ninayejua uchungu wa mwanaume.Ungekua mwanamke mwenzangu ukasema haya ningekushangaa sana.
Hakuna mwanamke ambaye anaweza kukubaliana na huu ushenzi wa wanaume. Mbona sisi tunavumilia na kutulia na nyie? Kwani sisi wanaume wengine hatuwaoni? Hebu muangalie mke wake alivyo mzuri jamani! Nina uhakika mkewe kama analia sasa analia kwa mengi kubwa ni hiyo aibu ya kushea mume na Lulu!
Wewe acha tu sikia kwa watu ila uchungu tulionao wanawake ni mkubwa sana.
Yaani wewe unavyonikera leo basi tu.
Haya, vipi wewe utakubali kushea na mtu mkeo?
Dah! Pole sana mwaya maana kuna siku uliniudhi mimi nikadhani mwanaume nilikurarua kwelikweli.
Yamepita hayo, one ♥.
Uwizi ulizidi yani alikua anapakua mzigo kimyakimya kwa wiki alikua anaweza uza mawe y 600m kwa best yangu alifanya huo mchezo kwa 7mnth piga hesabu aliiba kiasi gani
kaiba sana kwa kweli,ila poa tu maana wazungu wanatuibia sana,safi sana seki.uzuri kafanya investiments za kutosha,mke na watoto hawatoadhirika,pia mkewe ana kazi ya maana.kassheshe ni hao michepuko kama huyo lulu sijui hiyo nyumba itabidi airudishe,maana mlipa rent ndo hayupo tena.
Wapi kuna mtu alifaidi hapo mpka nyumba n gari ila akajifanya kumbana jamaa sana kma vile mkewe jamaa akasepa
hhanlhahaaaa
we jamaa weewee
yaelekea unakula sana ujana
Hahahaaaa pole kwa kukukwaza mwaya .
lulu atakuwa hana zile nywele za downward hilo ni tatizo pia
Naongea ukweli tupu hivi mwanaume w hivyo karne hii hamna hebu angalia vizee vinatamani virudi kua vijana vitoe dose kwa vibinti ila ndio hvyo