Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

kumbe alifukuzwa kazi?kwa nini?

Uwizi ulizidi yani alikua anapakua mzigo kimyakimya kwa wiki alikua anaweza uza mawe y 600m kwa best yangu alifanya huo mchezo kwa 7mnth piga hesabu aliiba kiasi gani
 
Maisha yenyewe mafupi acha wa2 wale maisha jamani huku migodini kuna suluba acha 2 mtu unaweza kaa chini wiki bila kufika juu.istoshe rizki kugawana wengi wamefaidi kwa seki sio lulu tu

hahaaaaa
sema lulu alijimilikisha jamani!
 
huyu mtoto namuonea huruma huku simuonei huruma. ni mtoto mdogo mno kukumbwa na visanga kama hivi. na yote hii ni kuvamia maisha katika umri mdogo, kujiona umekua wakati bado una safari ndefu. Watoto wa umri wake wako chuo wanasoma ili wawe na elimu waweze kujitegemea, yeye katika umri huu yuko busy kusaka waume za watu wenye pesa maana bongo limejaa matope, hawezi kutulia akasoma, anataka short cut. Siku zote ukitaka short cut ya maisha, unakumbwa na mikasa kama hii. Hana tofauti na jambazi. Alitamba sana muda si mrefu kwenye kipindi cha Zamaradi kua yeye ni mchaga anaipenda pesa na anajua kuitafuta... kumbe kuitafuta kwenyewe si kwa kujituma akajulikana anachokifanya, bali ni kuvunja ndoa za watu na kuvuliwa pichu... mwenyezi mungu tunusurie watoto wetu wasifikie alikofikia huyo mtoto mdogo mwenye malezi mabovu... nasema mabovu maana mama yake anaonekana kufurahia sana haya maisha ya huyu mtoto. Sidhani hata kama kuna siku ameshawahi kumkalisha chini na kumkemea hii tabia au kumshawishi arudi shule. majaribu anayopitia, ni ujumbe kua amevamia mambo makubwa angali mdogo, hivyo anatakiwa kutulia sasa. Nina imani mwanaume mwenye akili timamu atamuogopa huyu binti kama ukoma, unless kama hujipendi. wako wanaosema siku za hawa wanaume zilifika, sikatai, lakini why always siku zifike ukiwa katika mahusiano na huyu binti...??? something is wrong somewhere, amrudie mungu wake. mke wa huyu marehemu RIP, aliumia sana kwa ajili ya huyu mtoto, machozi yake ndio yameleta majibu kama haya. naomba hili liwe fundisho kwa mabinti wote wenye kupenda short cut katika maisha kwa kuvuruga ndoa za wengine.

ahsante sana mamy nimejifunza mengi kupitia ushauri wako.....ubarikiwe sana
 
Yaani ukisema hivyo ya wake mwisho wanne roho inauma balaa!

Kwanza ngoja nimcheki shehe kipozeo nisilimu tu nioe japo 2 wanatosha.maisha ndio hayahaya wadada hawataki kufanya kazi sasa mnategemea nini.adui w mwanamke ni mwanamke mwenzie
 
Uwizi ulizidi yani alikua anapakua mzigo kimyakimya kwa wiki alikua anaweza uza mawe y 600m kwa best yangu alifanya huo mchezo kwa 7mnth piga hesabu aliiba kiasi gani

ndo maana wamemtoa kafara aisee watu wa madini ni hatarii kwa ushirikina RIP...SECKY
 
Kwahiyo kushea kunashida gani mnapenda kuishi maisha ya tamthilia nifah hakuna mwanaume w hivyo kwenye 100 labda 2 ndio hawachepuki nyie ndio chanzo cha yote mnatamanisha n hivyo vilenzi mbinuko

Yaani wewe unavyonikera leo basi tu.
Haya, vipi wewe utakubali kushea na mtu mkeo?
 
Uwizi ulizidi yani alikua anapakua mzigo kimyakimya kwa wiki alikua anaweza uza mawe y 600m kwa best yangu alifanya huo mchezo kwa 7mnth piga hesabu aliiba kiasi gani
kaiba sana kwa kweli,ila poa tu maana wazungu wanatuibia sana,safi sana seki.uzuri kafanya investiments za kutosha,mke na watoto hawatoadhirika,pia mkewe ana kazi ya maana.kassheshe ni hao michepuko kama huyo lulu sijui hiyo nyumba itabidi airudishe,maana mlipa rent ndo hayupo tena.
 
Wake mwisho 4 istoshe lulu hajafaidi cha maana kuna bibie ananyumba n gari.pia seki mda wote alikua arusha dar alikua anakuja wkend kuangalia familia n biashara zake.halafu wewe nifah usicheke mamba kabla hujavuka mto
hhanlhahaaaa
we jamaa weewee
yaelekea unakula sana ujana
 
Acha hizo wewe.Mimi hapa naongea kama mwanamke ninayejua uchungu wa mwanaume.Ungekua mwanamke mwenzangu ukasema haya ningekushangaa sana.
Hakuna mwanamke ambaye anaweza kukubaliana na huu ushenzi wa wanaume. Mbona sisi tunavumilia na kutulia na nyie? Kwani sisi wanaume wengine hatuwaoni? Hebu muangalie mke wake alivyo mzuri jamani! Nina uhakika mkewe kama analia sasa analia kwa mengi kubwa ni hiyo aibu ya kushea mume na Lulu!
Wewe acha tu sikia kwa watu ila uchungu tulionao wanawake ni mkubwa sana.

asili ya wanaume kutetetana siku zote!!
 
Yaani wewe unavyonikera leo basi tu.
Haya, vipi wewe utakubali kushea na mtu mkeo?

Mbna unageuza maandiko wewe biblia inasema mwanaume ataishi kwa jasho lake kma unataka kunisaidia kulea mke mchukue jumla ili nami nivute ki2 kingine kipya
 
Uwizi ulizidi yani alikua anapakua mzigo kimyakimya kwa wiki alikua anaweza uza mawe y 600m kwa best yangu alifanya huo mchezo kwa 7mnth piga hesabu aliiba kiasi gani

Is it possible mkuu?
600m a week?
As far as I know huwezi kupiga alone mawe...kuna watu wa security na wengine kama wa instrumentation ambao wanasaidia ktk ku deactivate system.
Hao wote wanapata mgao...and normally migao huwa ni flat rate kwa wote. Hebu nifafanulie hapo nielewe mkuu.
 
kaiba sana kwa kweli,ila poa tu maana wazungu wanatuibia sana,safi sana seki.uzuri kafanya investiments za kutosha,mke na watoto hawatoadhirika,pia mkewe ana kazi ya maana.kassheshe ni hao michepuko kama huyo lulu sijui hiyo nyumba itabidi airudishe,maana mlipa rent ndo hayupo tena.

Tabia ni kma ngozi cku hizi kila dem anataka kudrive n kuishi artificial life pia mashababi twn wamejaa unategemea nini.seki kaacha familia vizuri sana pia bank yuko vizuri mama amalizie tu hiyo hotel dom tena ikibidi aache kazi asimamie miradi yake cz anacoaster 15 hapo dar zinafanya kazi
 
Wapi kuna mtu alifaidi hapo mpka nyumba n gari ila akajifanya kumbana jamaa sana kma vile mkewe jamaa akasepa

dduuuh kweli mshkaji alikua na kiburi cha pesa ila ndo wanaume wetu hawa walivyo wakishapata
 
Back
Top Bottom