Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia


Shida itakuja kwenye hicho kitu kilichofanya tukaoana!!kwanini ukigawe kwa wengineeeeeee!
 
Alikua anapiga mawe chini cyo strongroom mbna hiyo wa2 wamepiga sana kitambo tu istoshe tanzanite inaweza toka kwa kustukiza bila mzungu kujua so wa2 wanakula mzigo wote

Hapo nimekuelewa vizuri sana.
 
Johnson lukaza ni nani hapa mjini. warumi madamme b @ Evelyn salt Heaven Sent

Johnson lukaza ni mwenyekiti wa makampuni ya proin promotions. Nafikiri ndiyo kampuni inayosimamia kazi za msanii Lulu. Na huyo Johnson miaka kadhaa ya nyuma alikuwa na kesi ya EPA Ila walishinda kesi, so yupo njema tu
 
Last edited by a moderator:
Siamini, na sitaamini kama mwanamme analogeka ili apende.
Kongosho halogeki ili apende anapumbazwa akili tu na kutolewa utashi. Jamani mambo haya ya uchawi yapo fuatilia. La sivyo hawa kina 'Babu' si wangekuwa weshafunga vibanda vyao siku nyingi?
 
Last edited by a moderator:

Mi pia nawaza kama nifah msimamo wetu ni mmoja tu
 

Mkuu acha vijana wale ujana wao unaweza acha mali ndgu wakatoana roho bure maana hizi familia zetu z kiafrica ni balaa
 
Hiyo ya Mbutananga nayo mh.... kama sharti la mganga wa Lulu ni kumtoa kafara mtu mwenye nyota ya Aquarius tu si angemtoa yeyote aliyezaliwa kwenye nyota hiyo? Kwa nini amtoe mtu ambaye ndie anamuweka mjini ?
Unless waseme huyo mtu lazima awe na mahusiano nae ya kimapenzi.
 

yaani mnaongea maneno ya hekma sana
 
Last edited by a moderator:

Hahahaaa! Mimi nawasaidia wanawake wengine na kutoa tahadhari kwa yule niliyemkabidhi moyo.
Thou namkubali na kumuamini sana lakini hili jambo sio la kufumbia macho hasa mwanaume akiwa na visenti ndio mnatufanya tusilale kwa amani.
 
Shida itakuja kwenye hicho kitu kilichofanya tukaoana!!kwanini ukigawe kwa wengineeeeeee!

Unapiga pasi ndefu ukiwa mimi nimekopa mke so lazma awe na upendo ili apate leseni ya kufunga ndoa.kwani ukigawa kinaisha c ndio ubora n mastyle yanaongezeka
 

Mkuuu msemo wako umenifanya nicheki sana.....watu wanapiga kiatu pale kipenga kinapopulizwa wengine dakika ya kumi tu lazima upigwe umeme mwekundu....mtu ana jano moja bado anapiga viatu unategemea nini refa lazima ampe nyingine tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…