tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hahahaaa! Mimi nawasaidia wanawake wengine na kutoa tahadhari kwa yule niliyemkabidhi moyo.
Thou namkubali na kumuamini sana lakini hili jambo sio la kufumbia macho hasa mwanaume akiwa na visenti ndio mnatufanya tusilale kwa amani.
Kiukweli tukiweka mambo ya imani za kidini pembeni hakuna mwanamke anayetaka au kukubali kushea mwanaume.
Achana naye huyo.
Wewe nifah wake 4 ndio mpango mzima ilimradi uweze kuwatunza n mechi z kutosha.maisha n magumu wanawake wanataka mteremko tu
Kumbee unajua hilo halafu unajitoa ufahamu mumeo atabaki kua mumeo tu pia hawara yeye ataishi kwa kuvizia hana raha y kulala utupu kma mwenye mali kila cku yuko nayo ucku kucha
Kumbee unajua hilo halafu unajitoa ufahamu mumeo atabaki kua mumeo tu pia hawara yeye ataishi kwa kuvizia hana raha y kulala utupu kma mwenye mali kila cku yuko nayo ucku kucha
Mi sioni haja ya kumpa pole Lulu coz amekuwa akiwatoa kafara yy then si tunahangaika kutoa michozi yetu pole zangu ziende kwa Mke Wa ndoa Wa marehemu lakini Lulu nooooo kaua Wawili sasa
Unapiga pasi ndefu ukiwa mimi nimekopa mke so lazma awe na upendo ili apate leseni ya kufunga ndoa.kwani ukigawa kinaisha c ndio ubora n mastyle yanaongezeka
Duuuu ni balaaa jamanii
asante kwa taarifa ya msiba lkn nasikitika kwamba ( title ) ya habari hii imekaa kinafki kwani ingetosha tu kutuambia tukio la umauti wake, jina lake, labda na wasifu wake au kazi yake, lkn c kutuambai aliyekuwa mpenzi au hawara wa ----- tena kwenye title ya taarifa.
huko ni kumdhalilisha marehemu
Ni kumwomba Mungu tu, manake mwanaume wa peke yako sidhani kama yupo, mimi nashukuru Mungu wangu siyo muhongaji, cos michepuko huwa inalalamika,. Nikuomba uvumilivu ili tulee watoto, dunia ya leo ndoa zinachangamoto sana, wakati mwingine huwa naangalia wanangu naishi tu kumwaga machozi na kumwambia Mungu nashukuru kwa yote.
shoga hivi unakumbukaga haya maneno yako??
Huyo seki anajipendaa kwelii akikazinguaa ka lulu tutamsikiaa chaliiiiiiii kama the great
Sikumbuki aiseee hhhhaa
Kuna uzi mwingine kuhusu Seki eti mke wake alitabiriwa na TB Joshua kuhusu kifo chake.
Kumbe mke wa marehemu ni mlokole.
Huo uzi mwingine sioni humu au ushafutwa
hahaaaaaaaa kuna picha za mahaba za Lulu na marehemu ni balaaaaaaa
Vogue ndio asahau tena