Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Alikua amekalia meza y kioo hom kwake mbezi beach ghafla meza ikavunjika kioo kikamkata mshipa mkubwa kwenye paja na kingine kikamchoma tumboni blinding ilikua n kasi hosp wakashindwa okoa maisha yake.ni kifo cha ghafla sana
Lulu amediactivate akaunti yake ya insta.....
Nakwambia lulu ataliaa weee akimaliza msiba tu kimyakimya atakuja kukanusha kwamba hakuwa na mahusiano na huyo mtu na wala hamjui!!chezea lulu
Umri wa Lulu tafadhali kabla cjatoa tamko!!
sina mimba ila mme wa mtu sumuuuuhahaha! una mimba?
asante kwa taarifa ya msiba lkn nasikitika kwamba ( title ) ya habari hii imekaa kinafki kwani ingetosha tu kutuambia tukio la umauti wake, jina lake, labda na wasifu wake au kazi yake, lkn c kutuambai aliyekuwa mpenzi au hawara wa ----- tena kwenye title ya taarifa.
huko ni kumdhalilisha marehemu
Ahahahahaaa!we subiri uone katakavyokanusha kakimaliza kulia!!
19yrs!!!
Dah masikini! Hapo mbezi beach ndipo anapoishi na mke wake? Maana nasikia alikua na mchepuko!
Una uhakika na ulichopost?...una muhukumu lulu ww kama nan?...lulu ni binadamu kama sisi unategemea atakua katika hali gan wote tukimuandama?..ni vyema kuacha ushabiki usio na maana
Hiyo stuli sijui ilikua ya aina gani aiseee... mtu akifariki ghafla inasikitisha pia
asante kwa taarifa ya msiba lkn nasikitika kwamba ( title ) ya habari hii imekaa kinafki kwani ingetosha tu kutuambia tukio la umauti wake, jina lake, labda na wasifu wake au kazi yake, lkn c kutuambai aliyekuwa mpenzi au hawara wa ----- tena kwenye title ya taarifa.
huko ni kumdhalilisha marehemu
Yani mimi nimepigiwa simu saa 9 nkastuka sana ni bahati mbaya hujui kifo kitakukuta wapi acha 2
Acha tu shoga.Ila nasikia kapanic kwelikweli!
Vurugu zile alizokua nazo sijui zitaisha au lah? Maana wenzetu hawatabiriki si ajabu akajitokeza mwingine wa 'kumfadhili'.