Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

uyo mtoto lulu..haache tamaa yeye anashindwa kupata mwanaume wa saizi yake?mtoto mdogo kashakuwa mjane mara tatu.ptu
 
Wadau kuna movie moja hivi ya Kigosi kama inamhusu huyu Lulu inaitwa KICHWA CHA KUKU iangalieni mtaniambia
 
Huo uthubutu wa kumuwekea mguu hivyo mume wa mtu tena hadharal -watu namna hiyo ndo mapenzi hayo? hata haya hakana! haka kabinti ni janga kiukweli.
 
Chezea lulu wewe
 

Attachments

  • 1429617753579.jpg
    55.4 KB · Views: 889

huyu mama kama anataka replacement anicheki tu
 
cacico kinachopendwa bongomovies ni shekeli na sivinginevyo kwakuwa wanapenda kuwa na highlife wakati vyanzo vya mapato ni finyu hivyo njia rahisi ni kutafuta wenye nazo bila kujali status zao kifamilia

Sijui hali ya mdudu iko vipi huko Bollywood?:A S confused:
 
Mkuu na wewe ni muumini wa michepuko? Nini unachopata huko ambacho mkeo hawezi kukupa?

Hahaaaaa Elli hiyo ni siri y jeshi 70% wanaume wanachepuka ukiona hachepuki jua hana hela au diabetis imemshika au marejesho w bank wamembana
 
huyu nae asituchoshe, lulu ana udogo gani... mtu anabeba mibaba ambayo sikuwahi kuibeba nikiwa na umri wake... huyu ni mkubwa mwenzetu, tene katuzidi. mimi siwezi kumuonea huruma kwa sana, alipaswa kujifunza kwenye issue ya kanumba. kumsaidia hapa ni kumuambia arudi shule.
Haya sasa "Ole wenu muendelee kuongea"...Lol
 
Money Stuna nafasi iko wazi kwa Lulu fanya uwahi mapema nawe uwekewe miguu bro

Naogopa kuondoka kwenye mazingira ya kutatanisha,Mara kuanguka,Mara kuanguka kwenye kigoda
 
Chezea lulu wewe

Maskini jamani. Yaani hakutarajia kufa maana naona alikuwa busy na simu yake hata baada ya kupata huduma ya awali hospitali aloenda mwanzo. Huenda hapo alikuwa anapelekwa Agakhan. Duh
 
Hawa wasichana wa bongo movie kwanini wasiwaambie Hao mabilionea wao wawajengee nyumba badala ya kuwapangia nyumba sinza na mbezi beach.

Wanaume ni wajanja sana katika kuhudumia michepuko, hawezi kukupa kitu cha kudumu kwa sababu na yeye hana haja ya kudumu na wewe, anachofanya ni kukufurahisha tu kama wewe unavyomfurahisha akiwa katikati ya miguu. Akujengee halafu aje akuachie mali? Thubutu ni raha na starehe ya muda mfupi, ukikuta mwanamke kajengewa na mume wa mtu huyo ana akili sana na utakuta anajenga kwa siri bila mwanaume kujua, anachuna na kuwekeza bongo movie wanachuna na kufanya mashauzi ya nguo na viatu wakiachwa hata hayo magari wanashindwa kuyahudumia.
 
Haka ka toto katakuja lizwa asisahau maisha yake na hii tabia yakuchukua waume za watu,mamake mzazi kama ana shindwa kumkanya mwanawe atakuja juta yakimkuta ya kumkuta..........

Na ni jeuri hatari...huko insta anavyojishauaga ..na kuwajibu watu majibu ya kunya..acha...ila kanasahau..ht hili atasahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…