warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
wataalamu wa mambo wanasema nuksi...mi naona siku zinakua zmefika ila ndo kwanini zifikie kwa lulu!!!kuna bidada mmoja ye wapenzi wake wanajinyonga mwaka jana kajinyonga mwanaume wa 4
Wenzie watakuwa wanamchezea mchezo mchafu ili asipendwe na wanaume, maana lulu ana kismati na wanaume wenye pesa zao, sasa watakuwa wanamtafutia kasoro ili asipate wanaume wamuogope

