Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Tanzia: Mfanyabiashara wa madini na mpenzi wa Lulu afariki dunia

Binadam tunatakuwa tuwe wanyenyekevu kwa Mungu wakati wote na ukiwa myenyekevu utawaheshimu watu wote ikiwemo familia yako.Mpe Mungu nafasi kwenye maisha yako,kila unapoamka mshukuru Mungu mwambie asante na mwombe ulinzi wake kwa wiki zote za maisha yako.Roho ya mauti inapokujia(kwa wake wanaoamini kuwa SI vifo vyote Ni mapenzi ya Mungu mama Mimi)Ni rahisi kuikemea kama Hezekieli aliambiwa utaishi Bali utakufa alimgeukia Mungu na kumwongezea siku za kuishi.Si kila kitu majanga,wakati anaudumiwa angeendelea kumwomba Mungu rehema na kukemea hiyo roho ya mauti na siyo kumpiga/kujipiga picha.Naomba tujifunze hapa kwa sisi tuliobaki duniani jinsi ya kumsema Mungu mbele na sio pesa zetu,au mjomba au dactari uku unakimbizwa hospital piga maombi tuna msg watu waombe kwa ajili yako.Watakao elewa Ni wachache.Ila wanadam tumemdharau Mungu sana
Mama Mdogo ni nduguyo? au nyumba kubwa?

you seem to have similar minds!:yo:
 
Last edited by a moderator:
Rip seki, pole mke wa marehemu.

Pesa zilimbadirisha seki, mke alimpenda mumewe tangu Akiwa hana pesa, wakiwa wote wanafunzi, mapenzi ya mke Kwa mume yalikuwa ya dhati.
Wanaume wenzangu tuache kunyanyasa wake zetu, tuseme no Kwa michepuko, tunapoumwa wake zetu ndio utuhudumia michepuko hukimbia, tunapofirisika michepuko hukimbia wake tunakuwa nao bega kwa bega.
Wakati mwingine sioni sababu ya kutafuta pesa.......

Upo juu mngekuwa wengi hivo ulimwengu bomba stress zisingekuwepo
 
Rip seki, pole mke wa marehemu.

Pesa zilimbadirisha seki, mke alimpenda mumewe tangu Akiwa hana pesa, wakiwa wote wanafunzi, mapenzi ya mke Kwa mume yalikuwa ya dhati.
Wanaume wenzangu tuache kunyanyasa wake zetu, tuseme no Kwa michepuko, tunapoumwa wake zetu ndio utuhudumia michepuko hukimbia, tunapofirisika michepuko hukimbia wake tunakuwa nao bega kwa bega.
Wakati mwingine sioni sababu ya kutafuta pesa.......


Yani pesa ni kizungumkuti...akati nasali mume wangu afanikiwe...wakati mwingine nafurahi anapokuwa na pesa ya kututosha sie wenyewe...

Maana bora lipi?...pesa ndeeefu mume haonekani nyumbani au furaha na amani maishani mkiwa na pesa kiasi...

Mume akinambia cheo kimepanda nakuwa na mixed feelings...furaha na woga...maana mimacho inazidi kuongezeka ya hawa so called michepuko...
 
Yani pesa ni kizungumkuti...akati nasali mume wangu afanikiwe...wakati mwingine nafurahi anapokuwa na pesa ya kututosha sie wenyewe...

Maana bora lipi?...pesa ndeeefu mume haonekani nyumbani au furaha na amani maishani mkiwa na pesa kiasi...

Mume akinambia cheo kimepanda nakuwa na mixed feelings...furaha na woga...maana mimacho inazidi kuongezeka ya hawa so called michepuko...

exactly mamy usemavyo sometimes sitamani tuendelee zaidi ya hapa tulipo
maana unamuombea mema ili aje kunufaisha viruka njia wasiotaka kutumia ht akili zao kidogo za kuvaa nguo za ndani kujishughulisha na biashar yoyote ile ya kuwaingizia kipato

sijui ht tufanyeje
 
Mwanajamiione, sikubali wala sikatai mawazo yako, ila naomba tu nikukumbushe kitu kimoja, nitakupa na mfano kua, mungu ha bipiwi. Yaani ukim beep mungu, lazima akupigie. Inategemea kilio chako kikoje wakati wa kum beep. Huyu mke wa Secky alimlilia sana mwenyezi mungu juu ya mahusiano ya mumewe na huyu mtoto. Mungu akasikia kileo, akafanya kile alichoona kitamuweka huyu mama kwenye amani. Nakupa mfano mmoja tu, japo nina mingi. Kuna ajali moja iliwahi kutokea barabara ya moshi-arusha miaka kadhaa iliyopita, akafa mama na watoto wake wane au watano, sikumbuki vizuri, baba akapona lakini alilazwa. sina hakika kama unajua story behind this tragic accident? wanandoa hawa walikua hawana uelewano mzuri, mara nyingi walikua na kesi kanisani kujaribu kusuluhisha, issue ni baba kuchepuka na kuzaa hovyo. alikua na pesa zake na maduka mengi moshi na arusha. kila siku wanapomaliza kesi zao kanisani kwa mchungaji/padre, yule neno lake lilikua "sitaki kufa niache watoto wangu wateseke, bora mungu anichukue siku moja na wanangu". Alikua akiomba hivyo kila wakati, na mungu vile hajaribiwi, alitekeleza mama alivyotaka. Ile ajali ilimuondoa yeye na watoto wake wote kama alivyokua akiomba. Padri/mchungaji ndio alichaguliwa na wanafamilia kum face yule baba akiwa hospitali kumuambia familia yake is no more, maana kutwa alikua anataka kujua wanaendeleaje. Hivyo, pamoja na kwamba tunaondoka duniani kwa ahadi, lakini kuna ahadi nyingine inabidi mwenyezi mungu azi adjust kutokana na matokeo.
Da Asia umenena. Mama mtu ameplay part kubwa sana kaika kuyaharibu maisha ya bintiye. Baada ya lile sakata la Kanumba ambapo aliponea chupuchupu kula mvua za kutosha alipaswa ajifunze. Bado tukasikia kuna marehemu Komba now huyu mkaka... mama anafurahia tu. Na mbaya zaidi mama akaamua kuhamia kwenye hiyo nyumba ya mwanae alopangishiwa na huyo Seky. Inaonekana dhahiri kuwa alikuwa anamsupport ingawa kwenye ile Take One alijitetea kuwa kwa vile Lulu hajaja kumtambulisha mwanaume yeyote pale kwake alishindwa kutanabaisha uwezo na mali na maisha ya kitajiri anayoishi binti yake nani anafadhili?

Wazazi tuna kitu cha kujifunza katika hili.

Ila naomba kutofautiana na wewe kidogo hapo kwenye machozi ya mke kuleta matokeo haya ya kumwumiza yeye mwenyewe.... nadhani ni siku ilifika na kifo kikafika kwa style hiyo.

Au ndio kusema Mungu anakupitisha kwenye moto ili usafike zaidi kama dhahabu?
 
Mke wangu umetusema sana wanaume mpaka natetemeka. Mchezo wa kuchepuka nimeacha kuanzia leo.

Next weekend tunaenda Dodoma Hotel tuka-renew ndoa yetu. Na nyaraka zote za nyumba yetu Kisasa nakukabidhi.

Hahahaaaa jf naipenda sana
 
exactly mamy usemavyo sometimes sitamani tuendelee zaidi ya hapa tulipo
maana unamuombea mema ili aje kunufaisha viruka njia wasiotaka kutumia ht akili zao kidogo za kuvaa nguo za ndani kujishughulisha na biashar yoyote ile ya kuwaingizia kipato

sijui ht tufanyeje


Sijui michepuko ikipitia nyuzi kama hizi inajisikiaje!! Lakini itakuwa imekufa ganzi tu wala haijali mnajadili nini...michepuko ni laana tu popote ilipo.
 
Mwanajamiione, sikubali wala sikatai mawazo yako, ila naomba tu nikukumbushe kitu kimoja, nitakupa na mfano kua, mungu ha bipiwi. Yaani ukim beep mungu, lazima akupigie. Inategemea kilio chako kikoje wakati wa kum beep. Huyu mke wa Secky alimlilia sana mwenyezi mungu juu ya mahusiano ya mumewe na huyu mtoto. Mungu akasikia kileo, akafanya kile alichoona kitamuweka huyu mama kwenye amani. Nakupa mfano mmoja tu, japo nina mingi. Kuna ajali moja iliwahi kutokea barabara ya moshi-arusha miaka kadhaa iliyopita, akafa mama na watoto wake wane au watano, sikumbuki vizuri, baba akapona lakini alilazwa. sina hakika kama unajua story behind this tragic accident? wanandoa hawa walikua hawana uelewano mzuri, mara nyingi walikua na kesi kanisani kujaribu kusuluhisha, issue ni baba kuchepuka na kuzaa hovyo. alikua na pesa zake na maduka mengi moshi na arusha. kila siku wanapomaliza kesi zao kanisani kwa mchungaji/padre, yule neno lake lilikua "sitaki kufa niache watoto wangu wateseke, bora mungu anichukue siku moja na wanangu". Alikua akiomba hivyo kila wakati, na mungu vile hajaribiwi, alitekeleza mama alivyotaka. Ile ajali ilimuondoa yeye na watoto wake wote kama alivyokua akiomba. Padri/mchungaji ndio alichaguliwa na wanafamilia kum face yule baba akiwa hospitali kumuambia familia yake is no more, maana kutwa alikua anataka kujua wanaendeleaje. Hivyo, pamoja na kwamba tunaondoka duniani kwa ahadi, lakini kuna ahadi nyingine inabidi mwenyezi mungu azi adjust kutokana na matokeo.

Hii habari naikumbuka sana yule baba alikuja kumuoa nesi aliyekuwa anamhudumia! Japo nilikuwa sijui that story behind
 
Back
Top Bottom