Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale mkuu wanalilia mbunyeee! Mkurugenzi juzi kati hapa amelia kama mtoto mdogo!!Duh R.I.P... mbona wale wa kituo kilichovamiwa hawapungui
Una roho yakishetani sana.Duh R.I.P... mbona wale wa kituo kilichovamiwa hawapungui
Pole kwa uongozi wa efm na familia ya marehemu
Mbona umeniquote na mimi mkuu??Una roho yakishetani sana.
Aisee dah, ndio maana walikua wamefananaUyu dogo ni mdogo wake wa kuzaliwa na seki yule komedian na akina joti na mpoki,,rip
....yani ndo lilivyo hili sengemajibaridi!Huyu jamaa sijui anamatatizo gani kuna uzi mwingine kamzushia ana ngoma
Umesahau na Ufreemason piaBongo ukifanikiwa kuna mawili, unauza dawa za kulevya au ni mshirikina.
Ni tabu sana kwa kweli. Wengi hatuamini katika kupambana na kufanikisha. Hilo ni tatizo sana. Tuna ile kumshangaa mtu kutoka kwa sababu unamjua.Umesahau na Ufreemason pia
Wachawi bwanaHivi majizo huwa ni msukuma? Mbona anatoa ndagu sana huyu jamaa alianza na bikira sasa ni denis nan anafata?
Acha roho za kichawi Israel ndio mtoa roho na sio binadamuHawa EFM wana nini mana juzi tu Bikira wa Kisukuma chali leo Chogo au ndio msimu wa sadaka wa hawa wajenzi huru?
Mana hata hiyo CEO wao utajiri wake wa ghafla unejawa namashaka kwa Critical thinkers.
Kuugua miezi 3 sio ghafla jamaa figona ini zikifeliLakini.........!!!!
Huu mchezo wa vifo vya "ghafla”!!!!!!!
1. Seth
2. Chogo
3. ................
4. .................
.
.
.
RIP vijana