Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Watanganyika ni wa kuwasamehe bure tu saa nyingine.Natoa pole kwa wafiwa wote.
Lakini kila kitu ni upuuzi mtupu.
Sijaona cha maana au cha msingi cha kufanya kifo cha huyo mtoto kuwa story za kuvuma mitandaoni. Ni ulimbukeni mtupu.
Huyo mtoto ni nani?
Wazazi wake ni wakina nani?
Kuna kitu gani so special kumhusu huyo mtoto au wazazi wake?
Alianza kumuharibu wakati mdogo sana.Hata kama tunawapenda watoto wetu, si sawa kuwarusha na kuwatanzana namna hiyo katika uwanja "wa wakubwa kama huko Instagram"
Mtoto alilazimishwa kuvaa, kuimba, kuongea, na kuonekana kama mtu mzima!
Je alipata nafasi ipi ya yeye kucheza na watoto wenzake?
Je alipata wapi nafasi ya kuwaza kama watoto wenzake na kuiishi dunia ya utoto wake?
Angekuwa mtu mzima, angesimulia yapi mazuri ya utito wake kama kucheza kombolela na kupigana na wenzake katika michezo?
Mtoto anavalishwa kama mdoli, gangastar, mtanashati, bitozi, micheni, miwani na takataka zoote kama mtu mzima!...je MACHO ya watu wabaya yalikua namna gani kwa malaika huyu "aliyelazimishwa" kuishi kama mtu mzima?
MUNA alikosea sana.
Sasa mkuu si uweke vizuri hii habari manake Casto anapata taabu sana!Hahahhh....pole sana
Namjua Peter Zakaria (baba wa Patrick) miaka mingi tangu anafanya kazi TBL.
Nimekunywa nae sana bia Leaders na TCC Chang'ombe.
Pole sana
hahahahaUlifiwa kawaida.
Huyu mtoto anamjua mungu na kuabudu kitu ambacho wanao sidhani km waliwahi fanya zaidi ya kugombea mandondo.
Hahahahah....mkuuSasa mkuu si uweke vizuri hii habari manake Casto anapata taabu sana!
Like hapa nikuelezeeSamahani wakuu naweza pata taarifa fupi juu ya huyo dogo, alikuwa kama nani?? maana kila mtu yuko analalamika kuhusu kifo cha huyo dogo..
Wengi tunajua huyo mtoto ni wa hako kajamaa...kutokana na maneno ya Mama wa Marehemu....unless itakuwa drama za kipuuzi kama drama nyingine..Mkuu mbona wanasema huyo mapensi sio dingi...
!!??!!?
Hakuna mtoto wa nje ya ndoa katika dunia hii...hii ni lugha ya unyanyapaa....Umesahau fundisho moja muhimu sana. Moja ya madhara ya kuzaa nje ya ndoa ndio haya. Laiti km huyu mtoto angekua amezaliwa kwenye ndoa kusingekua na huu ujinga wa kumtaftia baba.
Hivi nyie mnamwana mama yake zinamtosha kichwani na ulokole wake feki?Alianza kumuharibu wakati mdogo sana.
Alafu nako kuna watanganyika wameshupalia pua ..pumbavu sanaWatanganyika ni wa kuwasamehe bure tu saa nyingine.
Na kama hujui ni kwa nini Wstanganyika ni maskini basi hizi ndio sababu halisi, mtu ambaye analeflect maisha yao hawana habari ila issue za makahaba zinashikiwa bango.
Hivi kitoto kama hichi uanzee kukivalisha kama P Diddy si unakikaribishia mapepo bure tu bila wewe mwenyewe kujuwa?
View attachment 802352
Ndo maana jana ,kuna uzi nmewasema sana. ... Yaaan kuna watu wapuuuzi balaa. Wanajifanya wanajua kila kitu yanHivi mtu unapata uthubutu upi wa kumnyooshea kidole binadamu mwenzako tena kipindi cha msiba[emoji15]
Hii tabia ya watanzania kuingilia maisha ya watu inazidi kuota mizizi. Njia pekee ya watu kuacha hii tabia ni maisha yazidi kukazwa nati. Kupata mlo iwe shida mbona akili zitatukaa sawa.
Amewahi kua Balozi wa tanzania nchini lebanonSamahani wakuu naweza pata taarifa fupi juu ya huyo dogo, alikuwa kama nani?? maana kila mtu yuko analalamika kuhusu kifo cha huyo dogo..
Kuomboleza muomboleze, ila sio kujifanya mmeumia saaaana kisa nimtoto wa star, yaan DP za wasap za wadada toka juzi nipicha ya mtoto, uko IG. FB ,ndo usiseme...wakat huo huo kuna jiran au ndugu alifiwa na mtoto au jamaa ake lkn ukaishia kumpigia simu kumpa pole au hata ukajifanya uko bize .. Watu wapuuzi sana.Tunaomboleza wote jamani mtoto ni wetu sote. RIP Angel
Usikariri man. Unaweza ukakuta Mungu kamuepusha na mengi ya dunia. ie kula unga, kuwa shoga,kubet mikeka Nk.Kweli kabisa mkuu huyo dogo inaonyesha angejakuwa mtata sana kunako ulimwengu wa mapenzi