TANZIA: Mtoto wa Rose Nungu (Munalove) Patrick Peter Zacharia Komu (Partsmartboy) Afariki dunia

Mimi nimepigwa na butwaa haki tena, watu wako busy kumnanga dada wa watu, kumsimanga na kumtafutia marehemu baba jamani.... Hebu walau tumwogope Mungu na kukumbuka kuwa dunia ni njia wote tu safarini. Zaidi sana hakuna mkamilifu
 
8. Tuwasamehe Bure vioo vya jamii
 
Namjulia wapi mie mpk nimpost? Page yenyewe ya instagram sina. Nimesiitika tuu mtt kufariki na huumia kifo cha mtt yoyote yule awe wa staa au huku mtaani. So dont Qoute me wrong bro
 
Namjulia wapi mie mpk nimpost? Page yenyewe ya instagram sina. Nimesiitika tuu mtt kufariki na huumia kifo cha mtt yoyote yule awe wa staa au huku mtaani. So dont Qoute me wrong bro
Sawa basi niliamin naww nimoja ya abiria walopo ndani ya behewa la ujinga upuuzi na unafiki usokua na maana.

Fres fresh , nmekupata.
 
Clouds naona wapo mbezi Kwa Muna huu msiba utazua mengi Sana.
 
Hivi nyie mnamwana mama yake zinamtosha kichwani na ulokole wake feki?
Huyu Dada asipojifunza Kwenye Hili basi Tena.

Fundisho : mtu ukiokoka toa ushuhuda Wa ukweli Huyu aliokoka lakini kuna mengi maovu hakuyaweka hadharani nadhani waswahili waliosema Fimbo ya Mungu ndio Hii maana jambo moja baada ya jingine linabumburuka. Mpaka sasa tushajua nyumba anayoishi kapangiwa na muimba gospel mwenzie Uwiiiiii Na ndio kwanza asubuhi.
 
Inabidi niwaaambie ndugu na marafiki mapema kama vipi waanze kunipost sasa hivi mambo ya unafiki wa kunipost nikifa sio mchongo..

Na rambirambi kama vipi wanipe nikiumwa ili nizitafune mwenyewe.
Sio mtu hujampa hata buku ya panadol halafu unatoa rambirambi ya laki .
Hii ni akili au matope..

Tujifunze kuthamini mtu akiwa hai
 
mkuu hawa ndiyo watanzania, wapo busy na yasiyo wahusu.
 
Mtoto sio wa castor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…