TANZIA: Mtoto wa Rose Nungu (Munalove) Patrick Peter Zacharia Komu (Partsmartboy) Afariki dunia

inawezekana....ila Muna katisher!!!
 
pengine inawezekana ameandikiwa lakini angekaa kimya au mtu tu wa karibu akasema itokee wenye akili ya kufikiri ya haraka kama weee kua hakuandika yeye unaweza kuimagine wangapi watakua wamefikiri hivyo
Kweli uko sahihi kabisaa wengi wanahisi kaandika yeye ila muna hana uandishi ule na hata nguvu ya kuweka huwezi ipata

Ni ngumu kukaa kimya Lengo ni kuclera msiba upo wapi!
 
Kweli uko sahihi kabisaa wengi wanahisi kaandika yeye ila muna hana uandishi ule na hata nguvu ya kuweka huwezi ipata

Ni ngumu kukaa kimya Lengo ni kuclera msiba upo wapi!
Aya ngoja tuendelee kusoma na kuona yajayo
 
Mi mpaka sasa sioni uchungu ,,mana niliumia kama namjua dogo. Sa ivi najiona kawaida tu baada ya hzi hekaheka


Wanawake juu,,,muna kaaibika tuseme za maukweli
 
Hivi siku IG ikafungwa,nini kitatokea kwa hawa wapenda show off
 
Dadadeq leo ndio nimeamini hawa wanawake wa instagrama ni laana tupu..
Yaani huyo peter siku zote anaamini mtoto ni wake kumbe alichapiwa halafu anakuja kuambiwa siku ya msiba...
Hii sio fair hata kidogo..

Huyu mama angecha mtoto azikwe kwanza hilo battle la mtoto likaendelea dogo akishapumzika
 
Kuna post muna kamlalamikia milly kwa alichokisema kuhusu pat kuumwa ile post na hii ya kumtaja casto kama baba wa mtoto mwandiko mmoja emoj zile zile
pengine inawezekana ameandikiwa lakini angekaa kimya au mtu tu wa karibu akasema itokee wenye akili ya kufikiri ya haraka kama weee kua hakuandika yeye unaweza kuimagine wangapi watakua wamefikiri hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…