Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
Ndio naposhangaa pamoja na maumivu ya kufiwa angekaa kimya akaomboleza anavyojua kutype na para yote hiyo, hakika sisi ni wa Mwenyez Mungu na kwake tutarejea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio naposhangaa pamoja na maumivu ya kufiwa angekaa kimya akaomboleza anavyojua kutype na para yote hiyo, hakika sisi ni wa Mwenyez Mungu na kwake tutarejea
Mtu akishazoea maisha ya kuigiza na show off hawezi kuacha hata mara mojaNdio naposhangaa pamoja na maumivu ya kufiwa angekaa kimya akaomboleza anavyojua kutype na para yote hiyo, hakika sisi ni wa Mwenyez Mungu na kwake tutarejea
Mtoto amemueka tumbon miezi tisa akakuza, leo Allah akamchukua, unapata wapi nguvu za kujibu watu?? AiseeMtu akishazoea maisha ya kuigiza na show off hawezi kuacha hata mara moja
Aisee.....Ila wanaume tujitahidi sana kuchagua wanawake wa kuwaoa/kuzaa nao....huyu mwanamke ni true figure of a who.re......anaiaibisha sana familia yake....
Ndio maisha ya movie hayoMtoto amemueka tumbon miezi tisa akakuza, leo Allah akamchukua, unapata wapi nguvu za kujibu watu?? Aisee
Ndio maana Ccm inashinda ( nje ya Mada)Wabongo tunaongoza kwa unafki. Period
Mtihani kama kuna mtu karibu ampokonye hiyo simNdio maisha ya movie hayo
Clouds naona wapo mbezi Kwa Muna huu msiba utazua mengi Sana.
Eeh aiseeGlobal TV Online imefunga safari mpaka maeneo ya Mwananyamala jijini Dar kwa ndugu Peter Zacharia Komu ambapo ndipo msiba huo ulipo. Ndugu Peter amefunguka mengi na kusema Muna ni mkewe wa ndoa na walimzaa Patrick wakiwa ndani ya ndoa. Amesema amekuwa akimhudumia mtoto huyo kuanzia matibabu yote, matunzo na ada ya shule na kueleza kuwa Casto si baba wa mtoto huyo kama watu wanavyopotoshwa. Dada wa Muna naye amefunguka na kubainisha kuwa familia inafahamu mtoto huyo ni wa Peter na siyo Casto.
Wabongo tunaongoza kwa unafki. Period
Clouds naona wapo mbezi Kwa Muna huu msiba utazua mengi Sana.
Correct!!Ila wanaume tujitahidi sana kuchagua wanawake wa kuwaoa/kuzaa nao....huyu mwanamke ni true figure of a who.re......anaiaibisha sana familia yake....
Hapana unajua watu walikua na mkanganyiko wa msiba na yeye ndo kila kitu ukute walio nae karibu walimuambie aseme na ukute hajaandika yeye ameandikiwa pia watu walikua waende wapi mwananyamala au mbezi!Ndio naposhangaa pamoja na maumivu ya kufiwa angekaa kimya akaomboleza anavyojua kutype na para yote hiyo, hakika sisi ni wa Mwenyez Mungu na kwake tutarejea
Hata kipofu anajua mtoto ni wa castro fananisha picha hizo juuR. I. P mtoto mzuri ila nasikia mtoto sio wa Castro...
Hahahhahaha nacheka Kama mazuri kumbe ni vitu Vya kuhuzunisha sanaMsiba utahamia mahakamani huu
So sad wallah.Huyu kumbeba mtoto kumsafirisha kwa gari kwenda Nairobi na mumewe akitoa pesa anunue tiketi ya ndege kama alivyoomba.. ameonyesha unyama kisa asafiri na bwana wake ambaye alikuwa na show last weekend Nairobi.. kumpeleka mtoto akawe tu na bwanake huku anauguza na kumlilia mumewe pesa.. inasikitisha
Joel ameondoa tangazo la hizo show za Nairobi.. hadi jana zilikuwepo na ana video mbili kuonyesha na intavuu.. nae anamlilia mtoto wa mwenzie huku baba yake yupo hai.. na pesa hatoi anatoa baba mtoto.. itabidi aeleze y alimruhusu huyo muna akiwa na pesa waende na gari.. sad kuwa ni ben ten.. nyimbo yake moja na delete kwa simu yangu.. bora nilipenda mmoja tu maana sitaumisi
Mimi ndio maana wanaodai wameokoka huwa nawaangalia tu maana wengi wanaonyeshea kuwa wana maisha na Yesu Kristo wa Nazareth huwa ni mafekelo.. na wanaumbuka 40 zao zikifika.
Mume wake Peter, Mola amjalie apate mke mwema..
Yaani kanishinda tabia Huyu Dada.Mtoto amemueka tumbon miezi tisa akakuza, leo Allah akamchukua, unapata wapi nguvu za kujibu watu?? Aisee
Baba kasema Mwananyamala, mama mbezi kumbuka Hawa Wote ni wazazi wa mtoto msiba utahamia mahakaman Labda mmoja ajishushe.Hapana unajua watu walikua na mkanganyiko wa msiba na yeye ndo kila kitu ukute walio nae karibu walimuambie aseme na ukute hajaandika yeye ameandikiwa pia watu walikua waende wapi mwananyamala au mbezi!
Ndo maana ametoa hyo statement IG maana kwa watu maarufu pale ndo kila kitu kwa taarifa