Kumbe mwanamke? Nilidhani ni mwanamme kilaza wa Lumumba.Mie yehodaya nilishamuonaga ana shida kichwani!kisa tu mumewe katibu mtendaji😑!
Ni janamke!Kumbe mwanamke? Nilidhani ni mwanamme kilaza wa Lumumba.
Kumbe yehodaya Ni mwanamke ??Mie yehodaya nilishamuonaga ana shida kichwani!kisa tu mumewe katibu mtendaji[emoji58]!
Kumbe yehodaya Ni mwanamke ??
Wanaume tuna kazi kubwa.
Basi ana roho ngumu Sana .. Sio roho ya kike kabisa.Mwanamke huyo ila anajitoaga ufahamu
Nime react sad bossKwema mkuu?
Hapo juu umedislike bahati mbaya au nimekosea jambo?
Mkuu... ebu elezea kidogo ili ueleweke, maana tayari umeongeza taharuki...Watu wengi wanajua huyu Seth ni mtoto wa mama Kanumba, Marehemu ni binamu na Kanumba