swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,478
- 3,628
Mimi nilifanyiwa evacuation toka nilipokuwa mpaka Nairobi. That was 2001, Dr. alisema kamwe hawawezi kunifanyia opp. Nilikuwa natembea kwa magoti ila steroid zikawa zinanisaidia. Hivi ninavyoongea bado naumwa na sasa na miaka inavyoenda ndo shida lakini hakuna Dr. anayetaka kufanya hivyo na mimi nimezoea maumivu yangu. Huwa nikipata nafuu nacheza tennis kuswing lumber lakini naishi na maumivu.
Huyo Seth anamuita mama kanumba mama mkubwaRIP seth, dunia si rafiki yetu tujitaid kutenda mema...
Dah!! Sijui huyu mama ana hali gani kwa sasa???
Msiba usikie kwa mwenzio jamani..zamani nikiona mtu analia eti anamlilia mtu aliyetangulia mbele za haki nilikuwa namshangaa Sana.Hatar mm huko kufiwa na mtoto sikukujui ila msiba karibu niliowah kuu experience ni wa mdogo etu wa mwisho ambay nimefuatana nae kuzaliwa, wakike.
Pale ndio nilipojua uchungu wa msiba aisee.
Yale maumivu yaliniandama kwa 2 years mpaka niliolpoomba msaada wa maombi kanisani ndio ikawa pona yangu.Hatar sana.
Pole Sana.Mimi nilifanyiwa evacuation toka nilipokuwa mpaka Nairobi. That was 2001, Dr. alisema kamwe hawawezi kunifanyia opp. Nilikuwa natembea kwa magoti ila steroid zikawa zinanisaidia. Hivi ninavyoongea bado naumwa na sasa na miaka inavyoenda ndo shida lakini hakuna Dr. anayetaka kufanya hivyo na mimi nimezoea maumivu yangu. Huwa nikipata nafuu nacheza tennis kuswing lumber lakini naishi na maumivu.
Pole sana.Na pamoja tusemaMsiba usikie kwa mwenzio jamani..zamani nikiona mtu analia eti anamlilia mtu aliyetangulia mbele za haki nilikuwa namshangaa Sana.
Nilipofiwa na Baba ndiyo nimeyajua na maumivu ya kufiwa kwa wengine..miaka miwili ni kulia tu..nimeacha kulia juzi tu hapo.. Inauma Sana.
Pole sana brotherHatar mm huko kufiwa na mtoto sikukujui ila msiba karibu niliowah kuu experience ni wa mdogo etu wa mwisho ambay nimefuatana nae kuzaliwa, wakike.
Pale ndio nilipojua uchungu wa msiba aisee.
Yale maumivu yaliniandama kwa 2 years mpaka niliolpoomba msaada wa maombi kanisani ndio ikawa pona yangu.Hatar sana.
Were ni mpuuzi, nani kasema mambo ya kuwaua? Unadhani kama kaondokewa na watoto wote faraja ataipata wapi kama sio kurudi kwa mumewe wakaishi na kufarijiana?Uyo mume ndio anawaua hao watoto?
Acha ushirikina
Warudiane. Waliishi kwa kuhitilafiana na alimtukana sana mumewe hadharani. Sasa ni kuangukiana ili kusameheana na kuishi uzeeni pamoja kwa raha zao! Umenipata hapo?Unaposema amwangukie mumewe unamaanisha nn?unamwangukia mwanadamu mwenzako?kwamba mume amekasirika!?khaa!
Doohh!!!brother pole sana.Pole sana brother
Mimi kuna dogo nilimlea na akafariki hata kabla ya mwaka. Hadi leo kuna mafuta ya nazi sipendi hata kuyaona maana ndio ilikuwa last gift kumnunulia.
Sasa sipatii picha huyo mother ana hali gani kiukweli. Mungu amtie nguvu
Doohh!!!brother pole sana.
Kumbe people are passing through alot of hell.
Anapitia kipindi kigumu sana, na wote hawajaacha hata watoto.
Afadhali atamfariji bibi yakeSeth kaacha mtoto mmoja