TANZIA: Muigizaji Seth Bosco (Mdogo wa Marehemu Kanumba) amefariki dunia Usiku wa kuamkia leo

TANZIA: Muigizaji Seth Bosco (Mdogo wa Marehemu Kanumba) amefariki dunia Usiku wa kuamkia leo

Pole sana
Mimi nilifanyiwa evacuation toka nilipokuwa mpaka Nairobi. That was 2001, Dr. alisema kamwe hawawezi kunifanyia opp. Nilikuwa natembea kwa magoti ila steroid zikawa zinanisaidia. Hivi ninavyoongea bado naumwa na sasa na miaka inavyoenda ndo shida lakini hakuna Dr. anayetaka kufanya hivyo na mimi nimezoea maumivu yangu. Huwa nikipata nafuu nacheza tennis kuswing lumber lakini naishi na maumivu.
 
[emoji2308][emoji2308][emoji2308][emoji2308] apumzike kwa amani
 
Hatar mm huko kufiwa na mtoto sikukujui ila msiba karibu niliowah kuu experience ni wa mdogo etu wa mwisho ambay nimefuatana nae kuzaliwa, wakike.
Pale ndio nilipojua uchungu wa msiba aisee.
Yale maumivu yaliniandama kwa 2 years mpaka niliolpoomba msaada wa maombi kanisani ndio ikawa pona yangu.Hatar sana.
Msiba usikie kwa mwenzio jamani..zamani nikiona mtu analia eti anamlilia mtu aliyetangulia mbele za haki nilikuwa namshangaa Sana.

Nilipofiwa na Baba ndiyo nimeyajua na maumivu ya kufiwa kwa wengine..miaka miwili ni kulia tu..nimeacha kulia juzi tu hapo.. Inauma Sana.
 
Mimi nilifanyiwa evacuation toka nilipokuwa mpaka Nairobi. That was 2001, Dr. alisema kamwe hawawezi kunifanyia opp. Nilikuwa natembea kwa magoti ila steroid zikawa zinanisaidia. Hivi ninavyoongea bado naumwa na sasa na miaka inavyoenda ndo shida lakini hakuna Dr. anayetaka kufanya hivyo na mimi nimezoea maumivu yangu. Huwa nikipata nafuu nacheza tennis kuswing lumber lakini naishi na maumivu.
Pole Sana.
 
Msiba usikie kwa mwenzio jamani..zamani nikiona mtu analia eti anamlilia mtu aliyetangulia mbele za haki nilikuwa namshangaa Sana.

Nilipofiwa na Baba ndiyo nimeyajua na maumivu ya kufiwa kwa wengine..miaka miwili ni kulia tu..nimeacha kulia juzi tu hapo.. Inauma Sana.
Pole sana.Na pamoja tusema
R.I.P bwana Seth
 
Hatar mm huko kufiwa na mtoto sikukujui ila msiba karibu niliowah kuu experience ni wa mdogo etu wa mwisho ambay nimefuatana nae kuzaliwa, wakike.
Pale ndio nilipojua uchungu wa msiba aisee.
Yale maumivu yaliniandama kwa 2 years mpaka niliolpoomba msaada wa maombi kanisani ndio ikawa pona yangu.Hatar sana.
Pole sana brother

Mimi kuna dogo nilimlea na akafariki hata kabla ya mwaka. Hadi leo kuna mafuta ya nazi sipendi hata kuyaona maana ndio ilikuwa last gift kumnunulia.

Sasa sipatii picha huyo mother ana hali gani kiukweli. Mungu amtie nguvu
 
RIP Seth, duuuh inauma Sana kuondokewa na mtu ambaye unategemea awe msaada kwako, unaweza hata kukufuru. Poleni Sana wafiwa na wahusika wote.
 
Apumzike kwa amani, mana kiatu chake hakiwezi mtosha mtu...daah!! Inasikitisha .
 
Uyo mume ndio anawaua hao watoto?
Acha ushirikina
Were ni mpuuzi, nani kasema mambo ya kuwaua? Unadhani kama kaondokewa na watoto wote faraja ataipata wapi kama sio kurudi kwa mumewe wakaishi na kufarijiana?
Uwe unafikiri kabla ya kujibu bladibasketiboli!
 
Unaposema amwangukie mumewe unamaanisha nn?unamwangukia mwanadamu mwenzako?kwamba mume amekasirika!?khaa!
Warudiane. Waliishi kwa kuhitilafiana na alimtukana sana mumewe hadharani. Sasa ni kuangukiana ili kusameheana na kuishi uzeeni pamoja kwa raha zao! Umenipata hapo?
 
Pole sana brother

Mimi kuna dogo nilimlea na akafariki hata kabla ya mwaka. Hadi leo kuna mafuta ya nazi sipendi hata kuyaona maana ndio ilikuwa last gift kumnunulia.

Sasa sipatii picha huyo mother ana hali gani kiukweli. Mungu amtie nguvu
Doohh!!!brother pole sana.
Kumbe people are passing through alot of hell.
 
Taabu zangu zikiisha, nitamwona Bwana wangu

Akinikaribisha kule, karibu upumzike

Hapa ndipo nyumbani kwako, hapa ndipo mahali pako

Hapa ndipo makao yako, karibu upumzike ...

Ukapumzike Seth Bye brother😭

 
Back
Top Bottom