Tanzia: Mwanachama Maarufu wa Yanga, Ally Yanga amefariki kwenye ajali ya gari Dodoma

Tanzia: Mwanachama Maarufu wa Yanga, Ally Yanga amefariki kwenye ajali ya gari Dodoma

Moyo unakataa kuamini rafiki, ndugu na shabiki mwenzangu wa Yanga brother Ally amefariki dunia!
 
Uwe na hekima jombii....kifo ni kifo...leo kwake kesho kwako!!
Ushaambiwa alikuwa famous fans wa club ya Yanga(Vyura fc). Watu wa mpira kwao hii in habari.

Wewe uliyezoea vigodoro tip ur middle f on ur as.s h then ukalale
Dah kuna watu mnakosa ubinadamu kabisa buku 7 inawatia kiburi
Mkuu Troll JF tafadhari, uwe na hekima, sio kila jambo linahitaji ghadhabu na hasira.
It iz not fare mkuu!!
R.I.P Ally Yanga
Mbona Thread iko Jukwaa la Michezo Taangu SAA 9 Alasiri na Nimetoa salamu zangu za Rambi rambi kwa Familia yake na Mashabiki wa Yanga. Nimeshangazwa na Mleta Thread alivyochelewa
 
View attachment 527636
Shabiki maarufu wa Yanga, Ally Yanga amefariki dunia kwa ajali ya gari eneo la Chipogolo- Mpwapwa.

Mwanachama Maarufu wa Yanga ,Ally Yanga amefariki muda huu kwa ajali ya gari alikuwa katika Mbio za Mwenge huko mkoani Dodoma.

Innah Lilah wainah illah rajiuun

Poleni mashabiki na kiongozi Wa club ya dar young African kwa kuondokewa na shabiki maarufu wa club ya yanga ndg Ally yanga kilichotokea kwa ajaliya gari akiwa kwenye msafara wa mbio za mwenge huko Dodomampwapwa.
View attachment 527635
Rest in peace Ally yanga mbele yako nyuma yetu tutakukumbuka sana na tutamiss sana vituko vyako uwanjani na kwenye chama chetu pendwa chama cha mapinduzi mungu akulaze mahali pema na peponi
View attachment 527704
Gari iliyopata ajali
Ndio maana mimi nataka mwenge usikimbizwe kila siku tunapata hasara tuu ona huyu kijana kajifia bure
 
Ali amekuwa akishiriki katika matukio mbalimbali hata ambayo sio ya kimichezo. Mfano aliwahi kuonekana kwenye kampeni za uchaguzi za chama kimoja hapa Tanzania mwaka 2015.
Kitaje hicho chama jina .....ikiwezekana

Ova
 
Mbona Thread iko Jukwaa la Michezo Taangu SAA 9 Alasiri na Nimetoa salamu zangu za Rambi rambi kwa Familia yake na Mashabiki wa Yanga. Nimeshangazwa na Mleta Thread alivyochelewa
Ndo ukaandika kile ulichikiandika! We ni wa kuhurumia
 
Back
Top Bottom