Queenever
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,051
- 3,018
Hatusemagi my dear,, kwamba nilikutwa na vvu??? Unaanzaje ,,ndo tunaishiaga kusema TB basimbona anadai ilikua T.B....anasema eti alipima hadi UKIMWI hakukutwa nao...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatusemagi my dear,, kwamba nilikutwa na vvu??? Unaanzaje ,,ndo tunaishiaga kusema TB basimbona anadai ilikua T.B....anasema eti alipima hadi UKIMWI hakukutwa nao...
doh kwa kweli...Hatusemagi my dear,, kwamba nilikutwa na vvu??? Unaanzaje ,,ndo tunaishiaga kusema TB basi
Aslei kawakanyaga wengi basiAslay alikuwa anadate na mdada mmoja muathirika na alishafariki,patishia picha hapo kama anao na ndio alikuwa demu wake kitambo
Ukimwi wa KUROGWA.Nini chanzo cha kifo chake?
Inabidi Wajumuishwe kwenye ule mpango wa kinga ya Ukimwi coz wapo kwenye kundi hatarishi.Kufa sio ajabu lakini nina wasiwasi na maisha ya hawa vijana wetu. Leo utasikia anatoka na fulani kimapenzi ambaye huyo fulani alikua na fulani kimapenzi. Kesho utasikia tena baada ya kuachana na fulani sasa hivi anatoka na fulani ambaye alikua wa fulani, ambaye huyo fulani alimtuhuku mpenzi wake kutoka na fulani. Pole sana.
Ushamuona zari ananyonyesha au hamisa,,,heheGiggy money sidhani....
Labda Amber lulu maana hata prezzo mwili umepukutika kwelikweli....
Kwa wema sidhani maana watoto wa diamond aliozaa na zari wangekuwa nao....
Sasa mkuu mambo ya kunyonyesha ni personal life kwa hiyo unataka kuniaminisha kuwa hawanyonyeshi wewe unakaa nao masaa 24???Ushamuona zari ananyonyesha au hamisa,,,hehe
MhhhhhMkewe anapigiwa simu mumewe mgonjwa nauli hana!!
Acha utan bas au umezqliwa 2010Sijawahi kumsikia. RIP
Ndo unavyojidanganya eeeh...kama ulililoweka peku nenda kapime tu mkuuIla hata ukizini na mtu wenye vvu kwa mara ya kwanza na kama ulimuandaa vyema chance ya Kupata ukimwi ni 0.098%
Ukimwi unaambukizwaje mkuu?Ndo unavyojidanganya eeeh...kama ulililoweka peku nenda kapime tu mkuu
HayaSasa mkuu mambo ya kunyonyesha ni personal life kwa hiyo unataka kuniaminisha kuwa hawanyonyeshi wewe unakaa nao masaa 24???
Au unataka watoke hadharani na kuanza kunyonyesha bado sijaelewa ideology yako hasa unataka kusema nini ......
Nitakuamini tu iwapo unakaa nao masaa 24 na umeshuhudia hawanyonyeshi.....
Wee ni house girl wa hao wadada yaani ninamaanisha huwa unakaa nao 24 hrs mpaka uwe na uhakika kwamba hawakua wananyonyesha?Ushamuona zari ananyonyesha au hamisa,,,hehe
Una la kuongeza.....Haya
Ukimnywa mate demu mwenye ngoma unalooo....ikigusisha nanilihiu kwenye papuchi yenye ngoma unaloooo...Ukimwi unaambukizwaje mkuu?
Vvu vina uwezo wa kuishi kwenye mate?Ukimnywa mate demu mwenye ngoma unalooo....ikigusisha nanilihiu kwenye papuchi yenye ngoma unaloooo...