Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechanganya madesa mkuu..RIP nakumbuka nilicheza Sana wimbo wake sababu ya ulofa mwaka 2011
Good girlWee ni house girl wa hao wadada yaani ninamaanisha huwa unakaa nao 24 hrs mpaka uwe na uhakika kwamba hawakua wananyonyesha?
Sina mumyUna la kuongeza.....
Kumbe ndo huyu small jobiso?!amekuaHuyo Steve ni yule dogo aliacha darasa la 5 nadhani kwa sababu ya udancer alikua anajiita Jobiso akina Koffi na Defao walimdanganya wataondoka naye miaka hiyo so IQ ni mle mle hata ukimsikiliza,Mama yake aliondoka na huo huo naye alikua dancer na akina Black Moses enzi hizo alikua anajiita Janet Jackson ndio maana alikua muwazi kuutaja Ukimwi nadhan
Mmhhh!!!!Mkewe anapigiwa simu mumewe mgonjwa nauli hana!!
Tatizo ni katembea na nani? Si unajua ma video kwini wetu hawachagui na utasikia ukiwauliza nitumie condom. Wanajibu wewe tu.Ni ukimwi tu hakuna wa kurogwa wala nini
Hhhaaaa ukishaambiwa wewe tu kimbiaaaTatizo ni katembea na nani? Si unajua ma video kwini wetu hawachagui na utasikia ukiwauliza nitumie condom. Wanajibu wewe tu.
Inasikitisha sana kwa kweli.Mkewe anapigiwa simu mumewe mgonjwa nauli hana!!
Nzuri lakini ki brand na kibiashara haifaiAlikujaga kupiga shoo huku kijijini kwetu,(sio mjini kivile), kesho yake tukasikia bado hajaondoka, tukatuma watu wamfuate ilesehemu aliyofikia, hakusema niko bize, au mimi msanii sitakiwi kuzagaa ovyo ovyo, alikuja tu fresh, tukapiga stori muda mrefu sana, akatugea na namba tukawa tunampigia. Ukitaka kupiga unawashtua washkaji, nataka kumpigia Sam, basi ukiongea kidogo unampa na mshikaji, Ongea na flani.. Fresh yani..
Wanataka kusema ukimwi huo ni wa kutengeneza![HASHTAG]#BREAKING[/HASHTAG] Producer Steve aliekua akifanya kazi na Msanii wa BongoFLEVA Marehemu SAM WA UKWELI alietamba na “hata kwetu wapo” ameongea yafuatayo >>> “Sam alianza kuzidiwa toka J’mosi, tulipomuuliza anaumwa nini alisema UKIMWI lakini sio UKIMWI wa kawaida bali wa kulogwa’. () R.I.P SAM [emoji1545] [HASHTAG]#MillardAyoUPDATES[/HASHTAG]
Sawa sawa mkuu, umenena vyemaHuwezi kujua kuwa dunia Ina mambo mpaka likukute jambo
Maisha ni Safari ndefu sana na dunia Ina mengi sana......
Mshukuru Mungu kwa kila jambo.....
Jiweke mbali na kuwasemea watu na kuwahukumu Kwani wahusika ndio wanaoujua ukweli ambao wewe unauona nje......
DUNIA INA MAMBO NA HUWEZI KUJUA MPAKA LIKUKUTE JAMBO
Chain aliyooacha nyuma ndiyo inayoniumiza kichwa, manake wanabadilishanaga tu kama mashati, wasanii wasipojiangalia watakufa sana, ukimwi upo na unaua jamanihata Mimi ukiniambia naumwa nini ntakujibu UKIMWI ila wa ulaya. hakuna mwenye ukimwi akajikubali 100%
Ukimwi wa Kurogwa.Nini chanzo cha kifo chake?
Chain aliyooacha nyuma ndiyo inayoniumiza kichwa, manake wanabadilishanaga tu kama mashati, wasanii wasipojiangalia watakufa sana, ukimwi upo na unaua jamani
Chain aliyooacha nyuma ndiyo inayoniumiza kichwa, manake wanabadilishanaga tu kama mashati, wasanii wasipojiangalia watakufa sana, ukimwi upo na unaua jamani