TANZIA: Mwanamuziki wa bongo fleva, Salum Mohamed maarufu kwa jina la Sam wa Ukweli afariki dunia

TANZIA: Mwanamuziki wa bongo fleva, Salum Mohamed maarufu kwa jina la Sam wa Ukweli afariki dunia

Chain aliyooacha nyuma ndiyo inayoniumiza kichwa, manake wanabadilishanaga tu kama mashati, wasanii wasipojiangalia watakufa sana, ukimwi upo na unaua jamani
wengi watafuata mkuu,kwa wasanii ukimwi ni kugusa tu wengi wameungua. time will tell
 
Na michubuko kutoka ni kwamba mlikuwa mnacheza mieleka au mnafanya rough sex kukomoana.....

Ule mchezo hautaki hasira just relax kuwa romantic na ingia kistaarabu michubuko haitokuja ikae itokee ....[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mkifanya rough sex michubuko lazima haikwepeki [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti kucheza mieleka nimecheka mie
 
Alikujaga kupiga shoo huku kijijini kwetu,(sio mjini kivile), kesho yake tukasikia bado hajaondoka, tukatuma watu wamfuate ilesehemu aliyofikia, hakusema niko bize, au mimi msanii sitakiwi kuzagaa ovyo ovyo, alikuja tu fresh, tukapiga stori muda mrefu sana, akatugea na namba tukawa tunampigia. Ukitaka kupiga unawashtua washkaji, nataka kumpigia Sam, basi ukiongea kidogo unampa na mshikaji, Ongea na flani.. Fresh yani..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeeee kijiji cha wapi hicho

RIP Sam
 
Back
Top Bottom