TANZIA: Mwanamuziki wa bongo fleva, Salum Mohamed maarufu kwa jina la Sam wa Ukweli afariki dunia

TANZIA: Mwanamuziki wa bongo fleva, Salum Mohamed maarufu kwa jina la Sam wa Ukweli afariki dunia

Wasanii hawa wenye umri wa 17-25 huwa wanapitia kwenye mitihani sana,msanii ana hits kadhaa,mademu wanawapenda sana hawa wasanii wetu,huwa wanawashobokea sana,kama msanii wa kiume huna msimamo walahi kilo bee itakuhusu tu.

Naonaga watoto wakike wanavyoloa wakiona msanii mwenye hits yaani ni full kushoboka,na mwenzangu na mimi msanii ambaye haujui kusema no,lazima utakuja kuvamia dege la jeshi,namkubali sana Mr Blue aliwezaje kuvuka kwenye minyenyere wakati alikuwa HB na anahitz za kutosha na mademu walikuwa wanamzimikia mbaya,namshauri atoe elimu kwa hawa wasanii wanaoibuka na hits single kisha kuvamia mademu hovyo.

Nimesoma comment juu hapo kuhusu bwana mdogo aslay inasikitisha sana,nawashauri wakongwe wawape elimu hawa wasanii wetu maana wanavyotafunana wenyewe kwa wenyewe na kuambukizana minyenyere inatisha.
 
Huyo Steve ni yule dogo aliacha darasa la 5 nadhani kwa sababu ya udancer alikua anajiita Jobiso akina Koffi na Defao walimdanganya wataondoka naye miaka hiyo so IQ ni mle mle hata ukimsikiliza,Mama yake aliondoka na huo huo naye alikua dancer na akina Black Moses enzi hizo alikua anajiita Janet Jackson ndio maana alikua muwazi kuutaja Ukimwi nadhan
Umenikumbusha mbali sana kumtaja Smalll Jobiso
 
Acha kupotosha watu wewe...ukila mate ya demu mwenye ngoma or ukigusa tu papuchi yake umekwisha
Unadhani ngoma niebola? ngoma inanyota sio kila mtu kwenye chain atapata kama huna nyota nao unapiga malaya nahuupati, nakuna familia znanyota yaukimwi yan kwanzia babu had wajuu wanakufa nao
 
Back
Top Bottom