Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Ila inatisha.hivi aggy aliumwa nini?Ukimwi huwa unaruka sehem zingine ingekuwa unaambukiza hivyo hakuna ambae angebaki salama
Bikira nae
Yule ima dancer nae?
Inatisha ukicheki chaini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila inatisha.hivi aggy aliumwa nini?Ukimwi huwa unaruka sehem zingine ingekuwa unaambukiza hivyo hakuna ambae angebaki salama
Mipira ila raha yake maana kuna matukio mengine unaona kabisa unaenda kufa lakni inakuokoa kabisa.....Yap labda hivyo
South ukimwi hauna shida ARV zao original MkuuAchalia hiyo hata the boss lady angekuwa nao na kwa jinsi alivyona jeuri ya fedha asingekusita kusema diamond anao....
Hapo ni either Amber au Giggy money....
Sure mkuu,naona hata kwenye avatar umemuweka muhanga mwengine wa maradhi haya....Easy E.Ila UKIMWI upo its really tusijisahau kabisa
Agy wanasema eti ni pumu??? Lakin nasikia alikuwa anaumwa muda mrefu tuIla inatisha.hivi aggy aliumwa nini?
Bikira nae
Yule ima dancer nae?
Inatisha ukicheki chaini.
Kwa hiyo hapo juu wema ndani ya nyavu aisee.....South ukimwi hauna shida ARV zao original Mkuu
Pia sio rahisi aseme
Wema alipima akaonyesha majibuKwa hiyo hapo juu wema ndani ya nyavu aisee.....
Mbona kama ni hivyo ataondoka na wengi sana.....
Mpira ukitumika vizuriiMipira ila raha yake maana kuna matukio mengine unaona kabisa unaenda kufa lakni inakuokoa kabisa.....
Aliumwa muda hata baba yake alisemaAgy wanasema eti ni pumu??? Lakin nasikia alikuwa anaumwa muda mrefu tu
Mama Sabrina kwa sasa ukigundulika una VVU hapo hapo inabidi uanzishiwe dozi ya ARV haisubirii sijui mpaka DC4 zipungue, hii inasaidia wagonjwa waanze kupambana na ugonjwa mapema na kuzidi kurefusha maisha yao. Hizo side effects za kutumia kama hiyo uliyoitaja hazikosekani ila ukiona inasumbua unapimwa upya na unabadilishiwa dawa.Lakin Arv mbaya sana zinafelisha figo
Huwezi kutwa na hiv hapo hapo uanzishiwe dawa za arv
Yaan ukiwachukua kuwapima hao wote lazima ukute watatu wanao lazimaaaAliumwa muda hata baba yake alisema
Sasa pata picha yule ramy galis si katembea na amber lulu? Amber lulu na aslay ,aslay na wema,wema na mind,mond na zari na hamisa,akiii ni shida
Ila hata ukizini na mtu wenye vvu kwa mara ya kwanza na kama ulimuandaa vyema chance ya Kupata ukimwi ni 0.098%Mpira ukitumika vizurii
Yakaja Neg....Wema alipima akaonyesha majibu
Oooohhh sawaa lakin ukimwa wa mwanzo si unakuwa sio mkali inabdi wakupe nini zile septlin sijuiMama Sabrina kwa sasa ukigundulika una VVU hapo hapo inabidi uanzishiwe dozi ya ARV haisubirii sijui mpaka DC4 zipungue, hii inasaidia wagonjwa waanze kupambana na ugonjwa mapema na kuzidi kurefusha maisha yao. Hizo side effects za kutumia kama hiyo uliyoitaja hazikosekani ila ukiona inasumbua unapimwa upya na unabadilishiwa dawa.
Eee sasa sijui kweliYakaja Neg....
Yule dancer ndiyo ulimpukutisha kabisaa...Ila inatisha.hivi aggy aliumwa nini?
Bikira nae
Yule ima dancer nae?
Inatisha ukicheki chaini.
Hahahhh[emoji23][emoji23][emoji23]Kama namuona yule Steve nyenyereMtaona wasanii watakavyotumia fursa ktk msiba wake