TANZIA: Mwanamuziki wa bongo fleva, Salum Mohamed maarufu kwa jina la Sam wa Ukweli afariki dunia

TANZIA: Mwanamuziki wa bongo fleva, Salum Mohamed maarufu kwa jina la Sam wa Ukweli afariki dunia

Mke wake wa kwanza tumesoma nae yule dada so ugonjwa wa huyu kaka naujua kidogo.

Sio busara nikiuongelea.
Mungu akuzidishie busara kwa kuliona hilo.....

Mimi nakuombea kwa Mungu uishi muda mrefu ili uzidi kuyaona na kujifunza ya dunia......
 
Aslay alikuwa anadate na mdada mmoja muathirika na alishafariki,patishia picha hapo kama anao na ndio alikuwa demu wake kitambo
Si wanapenda kutembea na masuper star ,naona meneja kapoza joto eti ukimwi wa kurogwa ,binafsi naona ndio kapandisha presha watu
 
Sasa hivi kuna kitu kinaitwa test and treatment... yani unapimwa na ukikutwa nao unaanzishiwa ARVs kwa hiyo ni vyema wakaenda kupima na kuanza dawa mapema kuliko kuja kusema wamerogwa
Kweli yaani watalogwa sana yaani
 
Lakin Arv mbaya sana zinafelisha figo
Huwezi kutwa na hiv hapo hapo uanzishiwe dawa za arv
kwa mfano kwa imani kama yako juu ya ARVs wengi watakufa kwa hofu ya kuzitumia...kwa hiyo mbadala ni kutumia nini? wanao kuanzishia wanakuwa wamesha kupima....kwa hiyo usiwe na wasi wasi Mama Sabrina
 
Aslay alikuwa anadate na mdada mmoja muathirika na alishafariki,patishia picha hapo kama anao na ndio alikuwa demu wake kitambo
Aise [emoji17][emoji17][emoji17] hivi kuna msanii mzima kweli?

Ila huwezi jua labda alikuwa anatumia mipira so tusimhukumu kuwa anao....
 
kwa mfano kwa imani kama yako juu ya ARVs wengi watakufa kwa hofu ya kuzitumia...kwa hiyo mbadala ni kutumia nini? wanao kuanzishia wanakuwa wamesha kupima....kwa hiyo usiwe na wasi wasi Mama Sabrina
Watumie tu lakin ni mbaya kama huli vyema pia ni shidaa
 
Giggy money sidhani....

Labda Amber lulu maana hata prezzo mwili umepukutika kwelikweli....

Kwa wema sidhani maana watoto wa diamond aliozaa na zari wangekuwa nao....
Ukimwi huwa unaruka sehem zingine ingekuwa unaambukiza hivyo hakuna ambae angebaki salama
 
Back
Top Bottom