Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Ni ukimwi tu hakuna wa kurogwa wala niniUkimwi wa kulogwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ukimwi tu hakuna wa kurogwa wala niniUkimwi wa kulogwa?
Halafu tunaambiwa jamaa alikuwa na MENeJa daahMkewe anapigiwa simu mumewe mgonjwa nauli hana!!
hahaha leo umeongea Mbolea sana "... MPE vidonge huyoAcha kujifanya mjuaji, unaonekana unapoishi haukai vizuri na watu , hawakupendi.
Wasanii wana ngoma na vile wanajua kuzungukana sio mchezo *****.mmh eti ukimwi wa kurogwa
Ukimwi unaua... ni wazi marehemu alichelewa kuanza kutumia ARVs kwa kuamini kuwa sio ukimwi bali amerogwa....pengine alikuwa na zunguka kwa waganga tuu badala ya hospitali... ni wazi alifungiwa ndani tuuu...Ni ukimwi tu hakuna wa kurogwa wala nini
Siume ambiwa UKIMWI wakurogwa mkuu...haaahaNini chanzo cha kifo chake?
Ni kweli halaf huo wa kurogwa upo vijijin sehemu wanazoamin sana uchawi,lakin hakuna kitu kama hicho kuamini mambo ya kishirikina ni hatari sanaUkimwi unaua... ni wazi marehemu alichelewa kuanza kutumia ARVs kwa kuamini kuwa sio ukimwi bali amerogwa....pengine alikuwa na zunguka kwa waganga tuu badala ya hospitali... ni wazi alifungiwa ndani tuuu...
Lazima sote tujue UKIMWI upo na unaendelea kuuwa....
Sasa hivi kuna kitu kinaitwa test and treatment... yani unapimwa na ukikutwa nao unaanzishiwa ARVs kwa hiyo ni vyema wakaenda kupima na kuanza dawa mapema kuliko kuja kusema wamerogwaWasanii wana ngoma na vile wanajua kuzungukana sio mchezo *****.
Just imagine aslay katembea na wema na amber lulu na gigy money! Jamani jamani nimeogopa
Na wenyewe wanadhani kuwa wote tunaamini kuna ukimwi wa kurogwa halaf kwanini dar wanaaamini sana uchawi ?Siume ambiwa UKIMWI wakurogwa mkuu...haaaha
AsanteUnajua maana breaking news? Unajua maana ya news updates? Ukikuta mtu amefariki njiani hautakiwi kutoa taarifa hadi ujue chanzo chake? Kichwani mwako kuna ubongo au maganda ya karanga?
Naaam nikweli "" umeongea maneno sahihi sana ...lakini waswahili wanasema asie jua maana usimpe maana "" huyu aliye sema sam kafa na ukimwi wa kurogwa hakupaswa kusema hiyo kauli " hata kama INA ukweli "" haiwezi kueleweka ktika hiki kizazi ambacho hakiamini hayo masuala ....angekaa Kimya tu ""..Huwezi kujua kuwa dunia Ina mambo mpaka likukute jambo
Maisha ni Safari ndefu sana na dunia Ina mengi sana......
Mshukuru Mungu kwa kila jambo.....
Jiweke mbali na kuwasemea watu na kuwahukumu Kwani wahusika ndio wanaoujua ukweli ambao wewe unauona nje......
DUNIA INA MAMBO NA HUWEZI KUJUA MPAKA LIKUKUTE JAMBO
Lakin Arv mbaya sana zinafelisha figoSasa hivi kuna kitu kinaitwa test and treatment... yani unapimwa na ukikutwa nao unaanzishiwa ARVs kwa hiyo ni vyema wakaenda kupima na kuanza dawa mapema kuliko kuja kusema wamerogwa
yaani " kwanza hata kama nikweli " waanzaje kusema hivyo...au ndio alikuwa kachanganyikiwa ....Na wenyewe wanadhani kuwa wote tunaamini kuna ukimwi wa kurogwa halaf kwanini dar wanaaamini sana uchawi ?
Aslay alikuwa anadate na mdada mmoja muathirika na alishafariki,patishia picha hapo kama anao na ndio alikuwa demu wake kitamboWasanii wana ngoma na vile wanajua kuzungukana sio mchezo *****.
Just imagine aslay katembea na wema na amber lulu na gigy money! Jamani jamani nimeogopa
HahaahahahahahAcha kujifanya mjuaji, unaonekana unapoishi haukai vizuri na watu , hawakupendi.
Kuishi kwingi ni kuona mengiNaaam nikweli "" umeongea maneno sahihi sana ...lakini waswahili wanasema asie jua maana usimpe maana "" huyu aliye sema sam kafa na ukimwi wa kurogwa hakupaswa kusema hiyo kauli " hata kama INA ukweli "" haiwezi kueleweka ktika hiki kizazi ambacho hakiamini hayo masuala ....angekaa Kimya tu ""..